Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Nasikia wasiokunywa pombe ni hatari hao kwa chini ni kweli wakuu???
Wazee wa kilaji hebu nisaidieni inakuwaje hapa...has ahuyu jamaa mwenye michupa kibao?
Kuwekewa chupa bila kujijua ni dalili ya kulewa na kulala chakariHuyo wala hajalewa sana baada ya kupata usingizi washikaji wakamfanyia kituko hicho cha kumbebesha chupa na kupiga picha,baa nyingi za uswazi huwafanyia watu hivi.
..Hako kamzigo kenye chupa ya castle lite kako poa sana kwa kubinjuka nako vimuguu vinonoooo!:smile-big:Jamani pombe sio chai....