Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Wanawake siku zote (si wote) wakinywa pombe kidogo tu hulewa na kuonekana wameutwika ile mbaya kuliko wanaume.
Wengine huenda mbali zaidi hata kujikojolea na kujisahau kabisa mahali walipo hubaki hapo hadi kilevi kitoke na wengine hata wakiutwika hukaa muda mrefu sana ili fahamu ziwarudie na fahamu zikirudi wengine huwa tayari mambo kadhaa mabaya wameshafanya au wamefanyiwa.
Why?
Timu ya wanasayansi ikiongozwa na Profesa Charles Lieber kutoka Mount Sinai School of Medicine New York Marekani, wamegundua kwamba wanawake wanakosa au wana upungufu mkubwa wa Enzyme ijulikanayo kwa jina la Gastric alcohol dehydrogenase (ADH), hii Enzyme huvunjavunja kilevi (alcohol) kabla ya kuingia kwenye damu.
Hii ina maana kwamba mwanamke akinjwa pombe kilevi huenda moja kwa moja kwenye damu bila kuchunjwa wala kuvunjwavunjwa kwanza kupunguza nguvu na sumu ambazo zinaweza kuwa kwenye pombe.
Pia wanatoa tahadhari kwamba wanawake wanaweza kuathirika zaidi na magonjwa yanayohusiana na ulevi haraka kuliko wanaume kama vile Cirrhosis ya Ini na Dementia
Wengine huenda mbali zaidi hata kujikojolea na kujisahau kabisa mahali walipo hubaki hapo hadi kilevi kitoke na wengine hata wakiutwika hukaa muda mrefu sana ili fahamu ziwarudie na fahamu zikirudi wengine huwa tayari mambo kadhaa mabaya wameshafanya au wamefanyiwa.
Why?
Timu ya wanasayansi ikiongozwa na Profesa Charles Lieber kutoka Mount Sinai School of Medicine New York Marekani, wamegundua kwamba wanawake wanakosa au wana upungufu mkubwa wa Enzyme ijulikanayo kwa jina la Gastric alcohol dehydrogenase (ADH), hii Enzyme huvunjavunja kilevi (alcohol) kabla ya kuingia kwenye damu.
Hii ina maana kwamba mwanamke akinjwa pombe kilevi huenda moja kwa moja kwenye damu bila kuchunjwa wala kuvunjwavunjwa kwanza kupunguza nguvu na sumu ambazo zinaweza kuwa kwenye pombe.
Pia wanatoa tahadhari kwamba wanawake wanaweza kuathirika zaidi na magonjwa yanayohusiana na ulevi haraka kuliko wanaume kama vile Cirrhosis ya Ini na Dementia
Pia wapo wanaume hutumia kilevi kama chambo kuwapata wanawake kwani wanafahamu kiwango sawa mwanamke hulewa zaidi.
Kumbuka ulevi ni mbaya kwa wanawake na wanaume husababisha familia mambo kwenda ndivyo sivyo.
Hutahukumiwa kwa kuwa ulikuwa mlevi bali kwa sababu ulikataa yule anayeweza kuondoa kiu ya kilevi yaani Kristo.
Source: http://www.independent.co.uk/news/science/scientists-discover-why-women-get-drunk-easily-681483.html
Dada kautwika hadi anajihisi yupo kwenye Queen bed yake home.
Pombe si chai au soda
Kumbuka ulevi ni mbaya kwa wanawake na wanaume husababisha familia mambo kwenda ndivyo sivyo.
Hutahukumiwa kwa kuwa ulikuwa mlevi bali kwa sababu ulikataa yule anayeweza kuondoa kiu ya kilevi yaani Kristo.
Source: http://www.independent.co.uk/news/science/scientists-discover-why-women-get-drunk-easily-681483.html
Dada kautwika hadi anajihisi yupo kwenye Queen bed yake home.
Pombe si chai au soda