Pombe imekuwa chanzo kikubwa cha kupunguza uwezo wa kupafomu kitandani

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
1,125
4,168
Pombe ukinywa kwa wingi huwa inafifisha kusambaa kwa kwa damu mwilini matokeo yake huwa inakuwa ngumu kwa dushe kusiamama vizuri.

Watu wengi hawatambui hili matokeo yake hudhania kuwa wamerogwa na kujikuta wakihangaika hovyo huku wenzi wao wakitafuta njia mbadala.

Pombe sio nzuri kwa afya japokuwa imekuwa kama ndio mbadala wa kutoa kampani kwa watu wenye mawazo.
 
Pombe ukinywa kwa wingi huwa inafifisha kusambaa kwa kwa damu mwilini matokeo yake huwa inakuwa ngumu kwa dushe kusiamama vizuri.

Watu wengi hawatambui hili matokeo yake hudhania kuwa wamerogwa na kujikuta wakihangaika hovyo huku wenzi wao wakitafuta njia mbadala.

Pombe sio nzuri kwa afya japokuwa imekuwa kama ndio mbadala wa kutoa kampani kwa watu wenye mawazo.

Labda katika pombe unazozungumzia K Vant haimo
 
Mkuu wengine tukiwa tungi mbona ndio inakuwa kinyume, shoo shoo.🙌😜🤣🤣🤣
 
Pombe ukinywa kwa wingi huwa inafifisha kusambaa kwa kwa damu mwilini matokeo yake huwa inakuwa ngumu kwa dushe kusiamama vizuri.

Watu wengi hawatambui hili matokeo yake hudhania kuwa wamerogwa na kujikuta wakihangaika hovyo huku wenzi wao wakitafuta njia mbadala.

Pombe sio nzuri kwa afya japokuwa imekuwa kama ndio mbadala wa kutoa kampani kwa watu wenye mawazo.
Nakupinga vikali
 
mziki wa k-vati +mo energy extra ilifanya nimkoe mtu mpk kesho yake alipo amka badala ya kunisalimia cha kwanza kuniambia ni jana umenifanya sn mpk nimechubuka
 
Huyu anazungumza Walevi, tena wale wanaokunywa bila kula.

Na ile sio tu unakuwa huna nguvu za kiume, hata awezo wa kufikiri hupungua.

Ila mtu umekula umeshiba, umekunywa bia zako kadhaa, kuna vinyege sijui vinatokaga wapi aisee, sasa ukiipata mbususu unaipelekea moto haswaaa.

Sasa ndio ukute umekula zako Roast ya mdudu + ugali alaf mixer ya kvant/konyagi na Mo energy.

He he he he.

Acha kabisa Papaa.
 
Back
Top Bottom