Pombe bwana

manyike dede

Member
Jul 10, 2016
37
19
Raha ya pombe bwana ukisha lewa unakuwa baunsa kweli na unajiamn balaa.

Kuna siku nilipigwa na mabaunsa Wa chid benzi baada ya kucheza jukwaani wakati anatoa shoo. Nilipigwa hadi pombe iliisha .

Kuna siku nilikuwa mtenda bar ( mby) nilimunywa sana. Hadi ilifikia hatua tukawekeana dau atakaye maliza via 5 atalipiwa hizo bia na kupewa sh 30000. Na ukishindwa unalipia bia na unatoa 30000.

Castre lager, Castre milk, bia bingwa, safari na Kilimanjaro. Duuh sikuweza maliza nikaingiliwa kwa kulipa.. nililewa hadi nilizima. Naamka Mon Niko guest na Nina wabaamedi 3 na wote tuko uchi Wa mnyama. Kwa aibu nilijikaza nikawagonga wote na kukimbia

Pombe bhana naikubali sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom