Polycarp Kardinali Pengo atajiuzulu dakika yoyote kuanzia kesho

Vilaza wa seminari ni shidah!, hapa anaweza kumkosoa Dr.Kitima.
P

Huyu "Cannon Lawyer" mwenzetu anayejua kila kitu asichojua na asiyekuwa mvivu wa kusoma asiyojua kusoma, ndugu yetu Paschal sijui alipitiwa na mapepo gani yanayomzuia kuwa humble wakati anajadiliana na watu asiowajua. Hata hivyo tusipersonalize mjadala huu kutokana na uwehu wa watu wachache, tukumbuke tu kuwa JF ni jamvi lenye ngedere na mchwa; tukishajua hivyo basi tuwe tunachambua facts tu.

Polycarp Cardinal Pengo amestaafu kutoka kuwa Archbishop wa Dar es Salaam ambapo sasa atakuwa ni Archbishop emeritus wa Dar-es-Salaam, ila atabaki kuwa Cardinal Priest kwenye College of Cardinals ya Vatican, na kwa nafasi hiyo ikitokea uchaguzi wa papa mwingine kabla hajafikisha miaka 80 bado atapiga kura. Akishafika au kuvuka miaka 80 ndipo hataruhusiwa tena kupiga kura ya kumchagua papa, lakini ataendelea kuwa Cardinal hadi anafariki. Akishafarki ndipo nafasi yake itabaki wazi na papa atachagua mtu mwingine kujaza nafasi hiyo. Binafsi, ningependa kuwa ikifika muda huo, basi wa kuchaguliwa kujaza nafasi hiyo atoke Tanzania tena. Tanzania tumebeba nafasi ya Cardinal miaka yote ya uhuru wetu; tulipata Cardinal wa kwanza nchini mwaka 1960 hata kabla hatujapata uhuru na hatuijawahi kuikosa nafasi hiyo.
 
Huyu "Cannon Lawyer" mwenzetu anayejua kila kitu asichojua na asiyekuwa mvivu wa kusoma asiyojua kusoma, ndugu yetu Paschal sijui alipitiwa na mapepo gani yanayomzuia kuwa humble wakati anajadiliana na watu asiowajua. Hata hivyo tusipersonalize mjadala huu kuokana na uwehu wa watu wachache, tukumbuke tu kuwa JF ni jamvi lenye ngedere na mchwa; tukishajua hivyo basi tuwe tunachambua facts tu.

Polycarp Cardinal Pengo amestaafu kutoka kuwa Archbishop wa Dar es Salaam ambapo sasa atakuwa ni Archbishop emeritus wa Dar-es-Salaam, ila atabaki kuwa Cardinal Priest kwenye College of Cardinals ya Vatican, na kwa nafasi hiyo ikitokea uchaguzi wa papa mwingine kabla hajafikisha miaka 80 bado atapiga kura. Akishafika au kuvuka miaka 80 ndipo hataruhusiwa tena kupiga kura ya kumchagua papa, lakini ataendelea kuwa Cardinal hadi anafariki. Akishafarki ndipo nafasi yake itabaki wazi na papa atachagua mtu mwingine kujaza nafasi hiyo. Binafsi, ningependa kuwa ikifika muda huo, basi wa kuchaguliwa kujaza nafasi hiyo atoke Tanzania tena. Tanzania tumebeba nafasi ya Cardinal miaka yote ya uhuru wetu; tulipata Cardinal wa kwanza nchini mwaka 1960 hata kabla hatujapata uhuru na hatuijawahi kuikosa nafasi hiyo.
Na kardinali siyo lazima awe askofu mkuu kama wanavyozani wengi hata padri au shemasi anaweza kuchaguliwa kuwa kardinali
 
Na kardinali siyo lazima awe askofu mkuu kama wanavyozani wengi hata padri au shemasi anaweza kuchaguliwa kuwa kardinali
Ndiyo; mpaka sasa hivi kuna Kardinali mmoja kutoka Spain ninayemfahamu ambaye siyo Askofu; inawezekana wapo wengi zaid ya huyo ninayemfahamu. Majukumu ya ukardinali siyo kusambaza neno la bwana ambalo ni jukumu la makasisi ( yaani mapadri na maaskofu). Majukumu ya Ukardinali ni uongozi na uendeshaji wa kanisa katoliki kufikia ufanishi wa malengo yake ya kueneza neno la bwana; makardinali wanafanya kazi zao za ukardinali huko Vatican, siyo majimboni mwao.
 
Ni kweli kuwa Cardinal anaweza kuwa Padri au Shemasi, lakini hizo ni incidence chache, Mfano ni Askofu Msaidizi wa San Salvador, Cardinal Gregoria, yeye ni Cardinal wakati askofu Mkuu wa Diocese yake ambae kiutendaji katika Jimbo ni boss wake sio Cardinal, ila Makardinal Wengi ambao ni Maaskofu wanakuwa katika Majimbo Makuu, Mfano Marekani ina Maaskofu wakuu 34, kati yao watano ni Makakadinali, na wako katika majimbo ya Chicago, Houston, New York, Los Angel, pamoja na Wastaafu wa Washington na Philadelphia, hata hapa Africa Makadinali wengi wako katika Majimbo ambayo ni Strategic, kama Dar es Salaam, Nairobi, Kinshasa, nk.
Mara Nyingi kanisa Katoliki hupenda kuwaweka Maaskofu wenye nguvu katika majimbo ambayo ni makubwa kama ilivyo Dar es Salaam. Ndio Maana Ruwaichi Akatolewa Mwanza kuja kumrithi Pengo sababu ya Uongozi wake uliotukuka, Misimamo na Elimu pia. Anaweza akawa au asiwe Kadinali baadae lakini kwa kuwa Askofu Mkuu wa Dar moja kwa moja anakuwa Askofu Mkuu mwenye nguvu na ushawishi zaidi katika baraza la Maaskofu.
 
Pamoja na Maaskofu wakuu, pia kanisa Katoliki Limekuwa likiwafanya Makadinali, Mapatriach wa makanisa ya Mashariki, Mfano ni Cardinal Naguib wa Coptic Church Alexandria Misri, Patriach wa kanisa Katoliki la Syria, Patriach wa Antioch Lebanon, lakini pia mkuu wa kanisa la Syro Malaba la India ambalo linaongozwa na Cardinal George, kwa hiyo ukiangalia list ya Makadinali wengi ni Maaskofu wakuu walioko Katika Roman Curia, Maaskofu wakuu wa Majimbo Muhimu, pamoja na Mapatriach na Wakuu wa Makanisa ya kikatoliki ya Mashariki (Eastern rite)
 
Katika kanisa katoliki huwa tunamsaidia mtu taarifa inakopatikana. Hivyo, suala la kujiuzulu nimelinukuu mara kadhaa humu kwamba hakuna kifungu cha kanisa katoliki kinachosema padri, sista au askofu anastaafu.

Unasema mimi ninasema hakuna kustaafu. Sijasema mimi bali ni Code of Canon Laws ndiyo imesema na nimekutajia Canon yake.

Ukitaka unaweza kwenda kwenye Catechism of Catholic church ambayo Paschal Mayala umeinukuu kwenye makala fulani kisuahihi.

Sasa kama Catechism au Canon Law imekuelekeza kwamba hakuns kustaaafu bali kuna kujiuzulu kamwe si tatizo langu bali ni tatizo la mambumbumbu kama Kichuguu na Paschal Mayala.

Sijajifanya canonist bali nimekuonyesha vifungu kapambane navyo. Ninachojua huna uwezo wa kulete kifungu kinachosema kustaafu kwa hiari miaka 75 au kwa lazima ukifikisha miak 80.

Hizo ni lugha za mambumbumbu wa mitaani au kwenye magenge ya kahawa.

Najua Father Kitima katumia neno kustaafu. Kamuulize amelitoa kwenye kifungu gani cha Canon Law au Katekism.

Kitima kakosea kama wanaokosea wote duniani kutumia neno kustaafu.

Nitaendelea kuwafundisheni mambumbumbu wote kwamba neno "kustaafu" halipo katika misahafu ya kanisa katoliki, na halitakuwemo bali katika ndimi za mambumbumbu.


Dr Kitima kaandika Pengo amekubaliwa kustaafu, kilaza mwingine anasema katoliki hakuna kustaafu, sijui tumwamini nani!
Huyu "Cannon Lawyer" mwenzetu anayejua kila kitu asichojua na asiyekuwa mvivu wa kusoma asiyojua kusoma, ndugu yetu Paschal sijui alipitiwa na mapepo gani yanayomzuia kuwa humble wakati anajadiliana na watu asiowajua. Hata hivyo tusipersonalize mjadala huu kutokana na uwehu wa watu wachache, tukumbuke tu kuwa JF ni jamvi lenye ngedere na mchwa; tukishajua hivyo basi tuwe tunachambua facts tu.

Polycarp Cardinal Pengo amestaafu kutoka kuwa Archbishop wa Dar es Salaam ambapo sasa atakuwa ni Archbishop emeritus wa Dar-es-Salaam, ila atabaki kuwa Cardinal Priest kwenye College of Cardinals ya Vatican, na kwa nafasi hiyo ikitokea uchaguzi wa papa mwingine kabla hajafikisha miaka 80 bado atapiga kura. Akishafika au kuvuka miaka 80 ndipo hataruhusiwa tena kupiga kura ya kumchagua papa, lakini ataendelea kuwa Cardinal hadi anafariki. Akishafarki ndipo nafasi yake itabaki wazi na papa atachagua mtu mwingine kujaza nafasi hiyo. Binafsi, ningependa kuwa ikifika muda huo, basi wa kuchaguliwa kujaza nafasi hiyo atoke Tanzania tena. Tanzania tumebeba nafasi ya Cardinal miaka yote ya uhuru wetu; tulipata Cardinal wa kwanza nchini mwaka 1960 hata kabla hatujapata uhuru na hatuijawahi kuikosa nafasi hiyo.
Mkuu wajina, Yesu angelikuwepo wewe ungelikuwa mbishi kuliko Tomaso, hata hivyo nakushukuru kwa kumheshimu Mkuu Kichuguu hukumuita mbumbumbu kama ulivyoniita mimi, yeye umemuita mweupe, kiukweli wajina kwanza nakushukuru kuendelea kutufundisha sheria za kanisa, ila kiukweli wewe ni kilaza, naomba nisikute mbumbumbu ili kukuheshimu kwa sababu hata kilaza anastahili heshima.

Pia una tatizo kubwa la kudogosha watu, kauli hii
"

Hivyo, kuhusu Catholic church wewe ni mweupe na ndilo tatizo la wasomi wengi duniani ukiwemo wewe. Wasomi wa dunia hii huwa ni wagumu kukubali kwamba hawajui kitu nje ya profession yao. Wanadhani they can debate on every aspect" ni kumdogosha Mkuu Kichuguu, mtu akiishakuwa Prof wa Chuo Kikuu, huyo ni msomi wa kuaminika na kuheshimika hivyo ni an authority of his own kind sio lazima hadi aandike kuhusu Ukatoliki.

Psychoanalysis ya graphology ya maandishi yako yanaonyesha una psychological inferiority complex kutokana na kuwa failure seminari, ulitaka kuwa padri ukafeli, sasa to make it up na hiyo deep rooted neurosis ya kufeli kwako unajikweza humu wewe ndio bingwa wa canon laws wakati kiukweli ni kilaza tuu, kama umeshindwa kutofautisha umri wa kustaafu kwa hiari na kwa lazima, ni ukilaza tuu. Mimi umenidosha kuniita mbumbumbu, Pengo umemdogosha, huyu Prof unamdogosha, sisi tuliopitia Graphology tuneng'amua una tatizo, pole.

Nadhiri ya sacrament ya upadirisho ni for life unless uvuliwe, hivyo Askofu anastaafu, hilo neno resignation ndiko kustaafu kwenyewe au kujiuzulu lakini anaendelea na utumishi wa Mungu hadi pale Mungu atakapomuita. Likitokea la kutokea kwa Papa, anayekwenda Vatican kupiga kura ni Pengo japo ni mstaafu na ataendelea kupiga kura hadi atimize umri wa miaka 80.

Kwenye bandiko hili, japo ni kweli Muadhama Polycarp, Cardinal Pengo amestaafu kama ulivyo bashiri humu, hoja yako ya kustaafu kwa lazima at 75 years sii kweli, Askofu anastaafu kwa lazima at 80 years, hivyo Pengo amestaafu kwa hiari kufuatia changamoto za afya yake na sio amestaafu kwa lazima kwa sababu ametinga 75!.

P.
 
Katika kanisa katoliki huwa tunamsaidia mtu taarifa inakopatikana. Hivyo, suala la kujiuzulu nimelinukuu mara kadhaa humu kwamba hakuna kifungu cha kanisa katoliki kinachosema padri, sista au askofu anastaafu.

Unasema mimi ninasema hakuna kustaafu. Sijasema mimi bali ni Code of Canon Laws ndiyo imesema na nimekutajia Canon yake.

Ukitaka unaweza kwenda kwenye Catechism of Catholic church ambayo Paschal Mayala umeinukuu kwenye makala fulani kisuahihi.

Sasa kama Catechism au Canon Law imekuelekeza kwamba hakuns kustaaafu bali kuna kujiuzulu kamwe si tatizo langu bali ni tatizo la mambumbumbu kama Kichuguu na Paschal Mayala.

Sijajifanya canonist bali nimekuonyesha vifungu kapambane navyo. Ninachojua huna uwezo wa kulete kifungu kinachosema kustaafu kwa hiari miaka 75 au kwa lazima ukifikisha miak 80.

Hizo ni lugha za mambumbumbu wa mitaani au kwenye magenge ya kahawa.

Najua Father Kitima katumia neno kustaafu. Kamuulize amelitoa kwenye kifungu gani cha Canon Law au Katekism.

Kitima kakosea kama wanaokosea wote duniani kutumia neno kustaafu.

Nitaendelea kuwafundisheni mambumbumbu wote kwamba neno "kustaafu" halipo katika misahafu ya kanisa katoliki, na halitakuwemo bali katika ndimi za mambumbumbu.
Una watu wengi wa kufundisha; unfortunaley mimi siyo mmoja wao! Mafunzo hayo hayanisaidii mimi kuwa muumini mzuri wa kanisa
 
mambumbumbu kama Kichuguu na Paschal Mayala.
Hizo ni lugha za mambumbumbu wa mitaani au kwenye magenge ya kahawa.
Kitima kakosea kama wanaokosea wote duniani kutumia neno kustaafu.
Nitaendelea kuwafundisheni mambumbumbu wote kwamba neno "kustaafu" halipo katika misahafu ya kanisa katoliki, na halitakuwemo bali katika ndimi za mambumbumbu.
If this makes you happy, be happy!.
Nimegundua sio tuu una deep rooted neurosis, pia ni sadist, baada ya kujua nakereka kuitwa mbumbumbu, na unamjua Kichuguu ni very senior prof wa UDSM, ili kuji please unamuita mbumbumbu kumdogosha ili upate pleasure na gratification!.
P
 
Kichuguu,
Labda kama wewe si mkatoliki.

Canon Law imepitishwa na Pope John Paul II February 1983 hivyo huna jinsi kuoitfundishwa au kutoikubali labda labda uondoke katika ukatoliki, haina neno kustaafu ina neno kujiuzulu kuanzia Pope, bishops na kila ngazi katika kanisa katoliki.

Catechism imepitishwa na huyohuyo Pope John Paul II mwaka 1992. Nayo huna jinsi ya kuikwepa labda uondoke katika kanisa katoliki.

Hivyo, sikufundishi mimi, amekufundisha Papa kupitia Canon Laws, Catechism.


Una watu wengi wa kufundisha; unfortunaley mimi siyo mmoja wao! Mafunzo hayo hayanisaidii mimi kuwa muumini mzuri wa kanisa
 
Ujinga ni neno la kawaida kumaanisha kutokujua na hakuna kosa mtu kuwa mjinga.

Kazi ya kumuondoa mjinga ujingani ni kumsaidia elimu sahihi inakopatikana.


Kichuguu na hata wewe ninawafahamu vizuri. Mna uwezo mzuri wa kussoma kitu kipya na kukielewa.

Ukishapewa Canon Law na Catechism basi kazi ya mwanakanisa ainakuwa imekwisha ya kuondoa ujinga.

Ukishaonyesha vifungu vya Catechism au Canon Law halafu mtu unayempa bado anazidi kujikita kwenye dhana alizogandisha kichwani ninastahili kutukanwa nisipomuita mbumbumbu.

Paschal na Kichugu mmeutaka umbumbu kwa kupenda maana mnataka mheshimiwe wakati kanisa hamuliheshimu. Papa kafundisha kupitia Canon Lawa kwamba hakuna kustaafu halafu unagansisha huo ujinga.

Kibaya zaidi unasema ni mimi mwenye dhana hiyo wakati mimi sijaandika Catechism wala Canoan law.

Hivyo, umbumbumbu ni lugha sahihi dhidi yako na Kichuguu na wote wanaodanganya dunia kwamba ndani ya kanisa katoliki kuna kustaafu.


If this makes you happy, be happy!.
Nimegundua sio tuu una deep rooted neurosis, pia ni sadist, baada ya kujua nakereka kuitwa mbumbumbu, na unamjua Kichuguu ni very senior prof wa UDSM, ili kuji please unamuita mbumbumbu kumdogosha ili upate pleasure na gratification!.
P
 
Huyu "Cannon Lawyer" mwenzetu anayejua kila kitu asichojua na asiyekuwa mvivu wa kusoma asiyojua kusoma, ndugu yetu Paschal sijui alipitiwa na mapepo gani yanayomzuia kuwa humble wakati anajadiliana na watu asiowajua. Hata hivyo tusipersonalize mjadala huu kutokana na uwehu wa watu wachache, tukumbuke tu kuwa JF ni jamvi lenye ngedere na mchwa; tukishajua hivyo basi tuwe tunachambua facts tu.

Polycarp Cardinal Pengo amestaafu kutoka kuwa Archbishop wa Dar es Salaam ambapo sasa atakuwa ni Archbishop emeritus wa Dar-es-Salaam, ila atabaki kuwa Cardinal Priest kwenye College of Cardinals ya Vatican, na kwa nafasi hiyo ikitokea uchaguzi wa papa mwingine kabla hajafikisha miaka 80 bado atapiga kura. Akishafika au kuvuka miaka 80 ndipo hataruhusiwa tena kupiga kura ya kumchagua papa, lakini ataendelea kuwa Cardinal hadi anafariki. Akishafarki ndipo nafasi yake itabaki wazi na papa atachagua mtu mwingine kujaza nafasi hiyo. Binafsi, ningependa kuwa ikifika muda huo, basi wa kuchaguliwa kujaza nafasi hiyo atoke Tanzania tena. Tanzania tumebeba nafasi ya Cardinal miaka yote ya uhuru wetu; tulipata Cardinal wa kwanza nchini mwaka 1960 hata kabla hatujapata uhuru na hatuijawahi kuikosa nafasi hiyo.
Tumempata Kardinali Rugambwa. Matubi atakuwa na majonzi sana.
 
Back
Top Bottom