byeyombo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 2,217
- 3,575
hiyo vita si mlikuwa mnatumika tu na mabeberu...idd amin alikuwa mzalendo!!..nawahurumia.
..hawajui kazi aliyofanya Brigadier.Muhidin Kimario kuamrisha mapambano dhidi ya askari wa Gaddafi.
..na Walibya walishaanza kutuelemea na ilikuwa almanusra tushindwe vita ile.