Kwa nini wanamkumbuka !! Wafuasi wa Gaddafi bado wapo na wanataka kuendelea kutawala na wapinzani nao wapo wanataka pia watawale.Moto wa vita uliowaka wa kuuzima hakuna, kwa jinsi wazungu wanavyowachukia Waarabu tayari wameshafanikiwa kuwafitinisha, wafuasi wa Gaddafi wanapewa silaha nzito na wapinzani nao kwa upande mwingine wanapata silaha nzito ndo maana mapigano ni makali na wanaumia ni raia na ndo wanaomkumbuka Gaddafi.Lakini shida hii yote ni Gaddafi mwenyewe baada ya kuvunja katiba ya nchi.Angalia mauaji DRC Kongo,machafuko hayaishi kwa sababu Kabila amevunja katiba ya nchi kwa kurefusha muhula wa uongozi.Mimi siumii bali nawapa ukweli juu ya Gaddafi anaepewa credit wakati dunia nzima alikuwa ananuka uovu.Naona wewe alikuonjesha tende na halua maana hapa kwetu alikuwa anajenga misikitiki na kuleta tende na halua kujiosha baada ya kuleta silaha za maangamizi kumsaidia Iddi Amin kwenye vita ya Kagera.Wewe ni mojawapo ulifaidi matunda ya Gaddafi ya kula tende na halua.We ni mlibya mbona unaumia Sana ila wenyewe wanamkumbuka Now days