Hata Mandela mwenyewe alikiri kuwa Ghadafi ni(alikuwa) jembe hapa Afrika. Msikilize anavymjibu huyu jamaa.
Hata Mandela mwenyewe alikiri kuwa Ghadafi ni(alikuwa) jembe hapa Afrika. Msikilize anavymjibu huyu jamaa.
Hata nashindwa kuelewa kwa nini huwa wanamshusha Nyerere mbele yakeMuamar gadafi....huyo Mandela "ushujaa" wake ni kukaa jela mengine aliyoyafanya ni ya kawaida sana, tena yalifanywa na wapigania Uhuru wenzie
Madiba kaifanyia nini Africa kama siyo Africa kumfanyia yeyeghadaf kafny nn mpk afananishwe na madiba?
kesho tumia ubongo kufikiri na sio kwapa kama leo. Mandela kafanya nini kama sio kusaidiwa tu na OAU.Dictator Gaddafi sijui kwanini anafananishwa na Papa Madiba, alikuwa msambaza dini mzuri na si vinginevyo.
Stupid Gaddafi, better gone to hell.
Hata Mandela mwenyewe alikiri kuwa Ghadafi ni(alikuwa) jembe hapa Afrika. Msikilize anavymjibu huyu jamaa.
Maarufu zaidi ni Mandela
Kuisaidia zaidi Afrika ni Ghadafi
1: Mkuu kwa hicho unachozungumzia upo sawa na mimi nakuunga mkono. Lakini katika hizi harakati huwezi kupatia kila jambo na ndio maana kunatetesi Gaddafi aliomba msamaha kwa hicho alichokifanya dhidi ya Tanzania kipindi cha vita ya kagera. Kwa Mandela kitu ambacho sitamuelewa ni jambo la kuwaruhusu Makaburu kuendelea kuwepo hapo Afrika ya kusini.Sisi ni wepesi sana wa kusahau. Kweli Gaddafi kwetu ni shujaa au msaliti. Mwaka 1978 majeshi yake na rafiki ya Idd Amini Dada yaliua ndugu zetu wasio na hatia mkoani Kagera, bado ni shujaa kwenu. Kwangu Gaddaf alipata haki yake.
Sisi ni wepesi sana wa kusahau. Kweli Gaddafi kwetu ni shujaa au msaliti. Mwaka 1978 majeshi yake na rafiki ya Idd Amini Dada yaliua ndugu zetu wasio na hatia mkoani Kagera, bado ni shujaa kwenu. Kwangu Gaddaf alipata haki yake.
Na kuvisaidia vikundi vya kidini mfano seleka.Gadaf alikosa credit tu alipomsaidia Idd Amin Dada kutushughulikia
Gaddafi baba wa madikteta wa Afrika na katili wa kutisha aliezika wapinzani kwenye makaburi ya halaiki na kuwafukia na makatapila !!!!!.Ghadaf baba wa waarabu wa Africa!!
Alikosa credit nyingi sana kama kuzika watu hasa wapinzani hai na kuwafukia na makatapila, alikuwa na dharau zilizokubuhu kwa kuona ikulu za wenzake zina najisi hivyo kusafiri na mahema na chakula chake, mtu mwenye credit hawezi kuzikwa kama mbwa na watu watano na kuzikwa porini kusikojulikana, alivunja katiba ya nchi na kung'ang'ania madaraka kama kwamba Walibya wengine wote ni wajinga, aluchukiwa na mataifa mengi ndo maana kifo chake hakikushitua mtu yeyote.Wewe kama unamfagilia una matatizo ya fikra.Gadaf alikosa credit tu alipomsaidia Idd Amin Dada kutushughulikia
We ni mlibya mbona unaumia Sana ila wenyewe wanamkumbuka Now daysAlikosa credit nyingi sana kama kuzika watu hasa wapinzani hai na kuwafukia na makatapila, alikuwa na dharau zilizokubuhu kwa kuona ikulu za wenzake zina najisi hivyo kusafiri na mahema na chakula chake, mtu mwenye credit hawezi kuzikwa kama mbwa na watu watano na kuzikwa porini kusikojulikana, alivunja katiba ya nchi na kung'ang'ania madaraka kama kwamba Walibya wengine wote ni wajinga, aluchukiwa na mataifa mengi ndo maana kifo chake hakikushitua mtu yeyote.Wewe kama unamfagilia una matatizo ya fikra.