Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Hii ni poll ya upesi upesi kujua mwelekeo wa fikra za watu.
Je Utakubali matokeo ya Urais pale NEC itakapoamua kuyatangaza?
a) Hapana - Sitakubali matokeo yoyote
b) Hapana - Kama CCM itatangazwa mshindi
c) Hapana - Kama Chadema itatangazwa mshindi
d) Ndio - yeyote akiwa mshindi
Je Utakubali matokeo ya Urais pale NEC itakapoamua kuyatangaza?
a) Hapana - Sitakubali matokeo yoyote
b) Hapana - Kama CCM itatangazwa mshindi
c) Hapana - Kama Chadema itatangazwa mshindi
d) Ndio - yeyote akiwa mshindi