Politics

Gman-lz

Member
Feb 23, 2015
66
5
1468063354302.jpg


Baba: Kijana wangu utaoa binti ambaye nitakuchagulia.
Dogo: HAPANA.

Baba: Nakuletea Binti wa Rais Kagame
Dogo: Basi huyo poa

Baba anapata nafasi ya kukutana na Kagame. Anamwambia "Kijana wangu anataka amuoe mwanao"

Kagame: Unanitania eeh?! Ntakuweka ndani!
Baba: Nimetumwa na Mshua Jei-Pii-Emu, mimi ni Baba mdogo wa kijana wake, na kijana wake ni Mkurugenzi wa Uchumi IMF, kanda ya Africa

Kagame: Hahaha . . . Sasa kijana mbona hujitambulishi mapema. Basi sawa.

Baba anamfuata Mkurugenzi Mkuu wa IMF, anamwambia ampe Ukurugenzi wa Uchumi Afrika. Anagoma.

Anamwambia kijana wangu ni mtoto niliyezaa na dada ake tajiri namba moja Afrika, Aliko Dangote

Mkurugenzi anakubali. Baba anamfuata Dangote na kumwambia akubali kusema mke wake (Baba) ni dada ake.

Dangote anagoma.
Baba anamwambia Dangote kwamba yeye ni Mwakilishi wa Rais wa Tanzania (Hapo ndo Dangote amekuja kuomba awekeze Tanzania)

Dangote anakubali

HIVI NDIVYO SIASA ILIVYO. MKO POA JAMAN?!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom