Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,225
- 113,566
Hivi ni macho yangu au...?
Baada ya 'kutumbuliwa' kwa Dr. Malecela watu ambao wameonekana kukerwa sana na kitendo hicho ni pro-UKAWA.
Sasa pro-UKAWA kwa nini wanakereka na kutumbuliwa kwa mwana CCM?
Tena mwana CCM aliyetangaza nia ya kugombea urais kupitia hicho chama chake mwaka jana.
Hizi siasa bana. Huwa zinashangaza sana wakati mwingine.
Baada ya 'kutumbuliwa' kwa Dr. Malecela watu ambao wameonekana kukerwa sana na kitendo hicho ni pro-UKAWA.
Sasa pro-UKAWA kwa nini wanakereka na kutumbuliwa kwa mwana CCM?
Tena mwana CCM aliyetangaza nia ya kugombea urais kupitia hicho chama chake mwaka jana.
Hizi siasa bana. Huwa zinashangaza sana wakati mwingine.