Political Assassins: Why TZ Politicians Must live in a State of Perpertual Paranoia

Mengi zaidi anayo member mwenzetu.... Hutaki Unaacha kutoka TISS. Niliongea nae jana jioni akasema kisa cha kifo cha aliyekuwa makamu wa rais dr Omar Juma atakileta siku za karibuni
Wakati tukimsubiri Hutaki Unaacha for confirmation, think about this

1. Kwa vile uras wa Tanzania ni wa zamu kati ya Bara na Visiwani, Alianza Nyerere akafuatia Mwinyi akaja Mkapa zamu ilikuwa ni ya Zanzibar na mlengwa alikuwa Dr. Omar ndio awe mgombea!.
2. Ili urais urudi bara, Dr. Omar had to go to justify hakuna mtu wa Zanzibar, atakayetufaa!
This is just a conspiracy theory subject to confirmation, ila pia nilisikia mahali hata Baba wa Taifa walim. na Karume walim..we acha tuu! Ni hao hao walio..
Kolimba walimkolimba
Imran Kombe wakamkomba
Mama Mbatia wakambata
Wangwe wakamuwanga
Juma Jamaldin Akukweti wakamkwetua
Gibbons Mwaikambo wakamkomba
Advocate Kapinga wakampinga
Prof. Jwani Mwaikusa wakamsusa
Balozi Wilson Tibaijuka wakamjuka
etc, etc and list goes on!

Nawahakikishiai tukimchagua Lowassa, ataifumua fumu TISS na kuachana na michezo michafu hii.
 
zipo nchi mtu akisaliti nchi yake

anakuwa katika 'hiyo paranoia kubwa na uwezekano wa kuuawa ni mkubwa'

sisi mtu akiitetea nchi yake hata usalama wake unakuwa hatarini.........

tulikuwa tunayasikia Kenya na Nigeria haya.....sasa ndo reality yetu.....na hapo ndo foundation ni ya nchi yetu ni Mwalimu
Nyerere


imagin tungeanza zamani kama Kenya na Nigeria leo tungekuwa wapi?????????/
 
Bado tuna kazi kubwa ya kuchange mindset zetu ili tujenge Taifa. Tabia ya unafiki tuliyonayo inatufanya tusione umuhimu wa kujari maslahi ya Taifa. Tunalindana kwa gharama yoyote ile. Inatia uchungu kuona hatutambui tunapoteza muda kutetea mambo yanayotufanya tuwe wanyonge binafsi na kujenga Taifa nyonge pia. Nguvu zetu tungezielekeza kwenye kuupiga vita umaskini, ujinga na maradhi, hadithi ingekuwa nyingine. Kuna tabia sio za kuiga, na hii tabia pia ni mbaya tuachane nayo.
 
Wakati tukimsubiri Hutaki Unaacha for confirmation, think about this

1. Kwa vile uras wa Tanzania ni wa zamu kati ya Bara na Visiwani, Alianza Nyerere akafuatia Mwinyi akaja Mkapa zamu ilikuwa ni ya Zanzibar na mlengwa alikuwa Dr. Omar ndio awe mgombea!.
2. Ili urais urudi bara, Dr. Omar had to go to justify hakuna mtu wa Zanzibar, atakayetufaa!
This is just a conspiracy theory subject to confirmation, ila pia nilisikia mahali hata Baba wa Taifa walim. na Karume walim..we acha tuu! Ni hao hao walio..
Kolimba walimkolimba
Imran Kombe wakamkomba
Mama Mbatia wakambata
Wangwe wakamuwanga
Juma Jamaldin Akukweti wakamkwetua
Gibbons Mwaikambo wakamkomba
Advocate Kapinga wakampinga
Prof. Jwani Mwaikusa wakamsusa
Balozi Wilson Tibaijuka wakamjuka
etc, etc and list goes on!

Nawahakikishiai tukimchagua Lowassa, ataifumua fumu TISS na kuachana na michezo michafu hii.

Naweza kuamini mengine kama Dr.Omari labda,lakini Nyerere hapana mkuu.Ukienda hata youtube binti yake wakati anahojiwa,alisema walijua 14months before nini kingetokea.Huyu mzee ni Leukemia ndiyo ilimuua mkuu
 
Kaazi kweli kweli. Kwa ajiri ya siasa, watu wanafanya lolote ili mambo yaende.

sio kwa ajili ya siasa ni kwa ajili ya tumbo,maslahi na power na sifa,Mzee amesema vizuri mwenye masikio na asikie,na sio siasa hata kwenye maisha ya kawaida ya wafanyabiashara na wengneo ambao wanania kufika mahali pa juu,
 
Naweza kuamini mengine kama Dr.Omari labda,lakini Nyerere hapana mkuu.Ukienda hata youtube binti yake wakati anahojiwa,alisema walijua 14months before nini kingetokea.Huyu mzee ni Leukemia ndiyo ilimuua mkuu
Ngumijiwe, the oparatives of conpiracy theory has neither limits nor boundaries!.
 
Maadam Usalama wa Taifa leo hii hakuna tena isipokuwa usalama wa Ikulu basi hii hadithi haitakwisha leo. Ni maisha ambayo kila mmoja wetu anatakiwa kujifunza maana mifano ipo machoni mwetu na watu wanaiona kila siku lakini bado hawataki kuamini. Na kama nilivyosema mimi Tanzania haiwezi kubadilisha Uongozi wa nchi hii bila nguvu ya Wananchi wenyewe na kama kuna maguezi ya kupitia sanduku la kura basi chanzo kitatokea ndani ya CCM wenyewe. Naipenda Chadema kutokana tu na viongozi wake kuwa wasikivu na tumeyaona matokeo ya mwaka 2010, lakini muda huo haupo tena njia zote zinafungwa nahatutapata Katiba Mpya tuitakayo..

Inasikitisha sana lakini ndio ukweli ulobakia, hatuna tena chombo cha USALAMA wa TAIFA..
 
Mengi zaidi anayo member mwenzetu.... Hutaki Unaacha kutoka TISS. Niliongea nae jana jioni akasema kisa cha kifo cha aliyekuwa makamu wa rais dr Omar Juma atakileta siku za karibuni

Mwambie kabla hajaleta kisa cha Dr. Omar Ali Juma, alete kwanza part 2 ya mada ya Mtandao.
 
Nawahakikishiai tukimchagua Lowassa, ataifumua fumu TISS na kuachana na michezo michafu hii.

Kama yeye anatuhumiwa kuwatumia TISS ili kuwachezea wengine michezo michafu, so tukimchagua ndo atakuwa malaika ghafla na kuwa na dhamira ya kusitisha michezo michafu?

Kule kwenye pambio la Mtandao [kwa hisani ya Mheshimiwa Hutaki Unaacha], uliandika kwamba RA na EL wameshiriki kuwaweka watu kibao kwenye nafasi nyeti including Mwema, Mwamnyange na Rashid Othman (RO). Na kuna mtu kasema RO aliwekwa na hawa hawa kwa kazi maalum. Kuna wengine wakasema daily briefing za usalama wa taifa huwa zinapelekwa kwanza Monduli ndipo zinaenda kwa JK. Kama EL anaitumia TISS sasa hivi kwa malengo yake binafsi, je akiwa Rais ambapo atakuwa na powers ndo unategemea aje kuleta neema ya kuifumua TISS kwa maslahi ya nchi?

Swali la kujiuliza ni kwamba kama huwa anapelekewa hizo briefing, huwa anazitumia kwa malengo gani kama sio kwa ajili ya kufanya mchezo mchafu? Je huyo mtu ambaye anapelekewa briefing za usalama sasa hivi, atakuwa na incentive gani za kuifumua TISS ambayo imekuwa ikifanya kazi kwa maslahi yake?

Kama Lowassa anamtumia RO sasa hivi, basi akiingia madarakani hawezi kuifumua TISS. Sana sana atazidi kuibinafsisha ili ifanye kazi zake. Sumaye alishasema ukiona mtu anaingia Ikulu kwa ulaghai basi atatawala kwa mtutu na ndio tutakachokuvuna na huo "ukombozi" utabaki kuwa ni ndoto ya alinacha!
 
Well said MMM, the other cause of perpetual paranoia is the fact that transnational companies has kwenye madini na nishati wana vikundi vinavyoitwa "intelligence teams" with kibarua cha kuondoa risks kwenye biashara zao. Hi ni pamoja na kuondoa viongozi wanoenakana kuhatarisha maslahi yao. kwa kawaida watajitahidi kumnunua mhusika lakini ikishindikana wana "liquidate". Vikundi hivi vinaitwa kwa majina tofauti tofauti kama vile vikundi vya uhusiano mwema, vikundi vya kampeni n.k. baadhi ya mabadiliko unayo yaona kwa viongozi wetu yanatokan na hilo.
 
Watu lazima wafunguke. Jukumu kubwa la uongozi ujao litakuwa ni pamoja na kuvunja polisi na tiss.
​watu wamefungwa ni lazima wafunguliwe kwa kuna tofauti kubwa sana ya usambazaji wa habari katika baadhi ya sehemu za taifa letu. kuna maeneo ya vijijini watu hawana ata mwelekeo taifa linaenda wapi zaidi ya kujua yeye anamiliki mifugo mingapi
 
kwa kuongezea vikundi hivyo vina mahusiano ya moja kwa moja na mashirika ya kijasusi kama CIA na MI6, kwa kuwa malengo yao yanafanana.
 
Mengi zaidi anayo member mwenzetu.... Hutaki Unaacha kutoka TISS. Niliongea nae jana jioni akasema kisa cha kifo cha aliyekuwa makamu wa rais dr Omar Juma atakileta siku za karibuni


Kabla hajaleta hilo , mwambie amalizie lile longolongo aliloacha linaelea hewani chumba cha pili. Wiki nzima sasa.
 
GreatThinkers
Who killed Imran Kombe?
Who was behind the death of Gibbons Mwaikambo?
Again who knows what happens to the late Kolimba?
Who planned for Sokoine's fatal accident?
Confusing:A S-confused1:
 
Ni kama vile WANASIASA wetu hawapaswi kufa. Hakuna mwanasiasa anayekufa sasa bila mkono wa mtu! Tunatishana hivi kwa manufaa ya nani sasa. Mauaji yapo ndio na yataendelea kuwepo lakini tuchunguze kama kweli yote yanayosemwa ni kweli. Tupunguze hisia na vionjo hivi kwa kufanya yafuatayo:
-Tuelezwe ukweli wakubwa wetu wanapougua. Mwandosya( Faiza anasema karogwa), Mwakyembe( katiliwa sumu).
-Tuweke wazi mfumo wetu wa wagombea kwa vyama vyote katika ngazi zote.
-Viongozi washirikina tuwakatae, tuwaumbue hadharani. Wanafahamika. Hawa ni pamoja na viongozi WADINI.
 
Tusiangalie hili kwa maana ya conspiracy tu bali tuangalie na kujifunza toka nchi ambazo political assassinations hutojea kama Urusi, Rwanda nk. Tusifikiri hata kidogo kuwa watawaka wetu ni tofauti sana ba watawala wengine duniani.
 
zipo nchi mtu akisaliti nchi yake

anakuwa katika 'hiyo paranoia kubwa na uwezekano wa kuuawa ni mkubwa'

sisi mtu akiitetea nchi yake hata usalama wake unakuwa hatarini.........

tulikuwa tunayasikia Kenya na Nigeria haya.....sasa ndo reality yetu.....na hapo ndo foundation ni ya nchi yetu ni Mwalimu
Nyerere


imagin tungeanza zamani kama Kenya na Nigeria leo tungekuwa wapi?????????/

You say it brother.....nchi ya ajabu sana hii....kilichokosekana kwa binadamu wa nchi hii ni UZALENDO (patriotism).Hamna uzalendo kwa raia wa nchi kwenye level zoote za jamii.......kuanzia familia to the very top of the leadership ladder.Kama raia kwenye jamii wangekuwa wazalendo basi tusingeona mali za nchi zinaibwa hovyo......wezi nchi hii wanaonekana wa maana kuliko wale waliochuma kwa jasho lao, watuhumiwa wa wizi/hujuma wanaachwa tu(eti utaskia....huyo mtu mkubwa bwana hatumwezi!!), wanaozungumzia na kukemea maovu hata bungeni wanachekwa na kubezwa bila aibu bungeni,wenye vyeo vya utawala wanashindwa kuwachukulia hatua wezi wa mali za umma(wakati sheria zipo), wahujumu na wala rushwa (haswa kubwa)wana tetewa na watawala na wengine kupewa hata vyeo, vyombo vilivyopewa dhamana ya kusimamia na kulinda sheria na mali za nchi ndio hao ambao wanaonekana kushiriki kuzikiuka sheria na kuzihujumu mali za umma, wale waliopewa dhamana ya kulinda usalama wa nchi (e.g TISS na polisi na hata jeshi)ndio hao tunaosikia wakishiriki kulinda usalama wa wezi wa mali za umma na hata kushiriki kuwaweka madarakani waovu. Kwa kifupi raia wa tz wamepoteza UZALENDO kwa nchi yao.......ndio maana tunakosa hata wazalendo pale ambapo watu wanaonekana dhairi kuisaliti nchi.....nchi hii ukiipenda nchi yako wewe ni adui.............tunayaona hata bungeni.....watu wamekosa uzalendo hata kwa wake zao(family)!!!- (kwa kutembea na nyumba ndogo)....na watu wanaona haya mambo ya kawaida tu!!! this country is big time cursed my brother........
 
Back
Top Bottom