Polisi Zanzibar: Sheikh Farid wa Uamsho hakutekwa; kufikishwa mahakamani

Binafsi nawashangaa sana watanzania. Huyo kamishna amesema nini hata tumuamini?- Hata kama ni kweli uamsho pia hawaaminiki!? Hivi kuna mtu kweli yupo timamu anategemea serikali ikubali hadharani kuwa ilimteka raia wake? Kuna tofauti gani na tukio la Dr Uli ambapo mpaka leo serikali "inakataa" kuhusika?-pamoja na kuwapo kwa ushahidi wa waziwazi!
mkuu kuna tofauti, ulimboka angalau kucha alinyofolewa na si huyu sheikh amerudi akiwa soft kama kawa.uchunguzi wa kina ufanyike!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Sheikh Farid sio mara ya kwanza kutekwa, na kila aliyetekwa si lazima ang'olewe kucha...inategemea na mazingira...Chuki yako dhidi ya Sheikh Farid ndio inayokufanya uamini hivyo.

Utakuwa mfuasi wake wewe, si ajabu umeshiriki kumuua askari polisi!
 
Binafsi nawashangaa sana watanzania. Huyo kamishna amesema nini hata tumuamini?- Hata kama ni kweli uamsho pia hawaaminiki!? Hivi kuna mtu kweli yupo timamu anategemea serikali ikubali hadharani kuwa ilimteka raia wake? Kuna tofauti gani na tukio la Dr Uli ambapo mpaka leo serikali "inakataa" kuhusika?-pamoja na kuwapo kwa ushahidi wa waziwazi!
Mkuu SMU ishu sio watu wanamwamini kamishna(makamishna hatuwaamini). Utata umeonekana kwenye mahojiano yake ya mwanzo kabisa mara baada ya kuonekana.

1/ anasema watekaji walijitambulisha kwake wakamuonyesha vitambulisho kuwa ni watu wa usalama na aka-prove kwamba ni watu wa usalama. anaulizwa unawakumbuka sura anasema hapana walikuwa wamevaa sox usoni(ali-confirm vipi kuwa hivyo vitambulisho vina picha za hao waliomteka? na je sio wahuni wengine tu ndio waliomteka?)

2/ anasema alifungwa pingu mikononi kitambaa usoni mara baada ya kutekwa na hakuona chochote mpaka walipomfungua wakati wana muachia huru. Wakati huohuo anasema alikuwa anaenda chooni na kunywa maji bombani(nyumba haijui na haoni aliwezaje kufika chooni. mikononi ana-pingu alifunguaje maji ana pingu huku haoni, kwenye nyuma ambayo hajawahi kuishi)
Ukimsikiliza yule dada aliyekuwa akimhoji, baada ya Farid kusema alikuwa anakwenda chooni kunywa maji, dada alimuuliza walikufungua kitambaa usoni? Farid akasema hawakumfungua, yule dada akastuka akabadilisha swali kwa kumstahi.

Unaweza ukarudia tena kusikiliza vizuri mahojiana kwenye link hapo mwisho.

Usalama wa Taifa wakitaka kumhoji mtu huwa wanamwita wanamuhoji.

Usalama wa taifa wakikuchukua kimyakimya ujue haurudi. Ulimboka walidhani ameshakufa that was the mistake.

Usalama wataifa sio wajingawajinga wakuteke halafu wakuachie urudi, huwa hawafanyi hivyo kwa sababu ukirudi mtaani umaarufu wako utazidi mara dufu, halafu utawasumbua.

Kama Farid alitekwa(kitu ambacho siamini) atakuwa ametekwa na wahuni wengine sio usalama wa taifa.

BREAKING NEWS Sauti ya UST Farid na Salma Said | Mzalendo.net
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Una ushahidi gani kama yeye ndie aliesababisha kuuawa Askari na kusababisha fujo?
 
Dr. Ulimboka naye pia alijiteka, akajitesa na kujitupa msitu wa pande maana ndo majibu ya polisi wetu na Ikulu hayo.
....hujamalizia sentensi mbona!
Baada ya kujitupu, akajiokota, akajipeleka Polisi, baadaye akajipeleka hospital na then akajipeleka kutibiwa nje ya nchi.
 
Huyu sheikh Farid amesababisha vurugu na kifo cha askari.Asipewe dhamana kama sheikh Ponda ili iwe fundisho kwa mijitu mingine yenye tabia za kipuuzi kama hizi.

Mbona cdm inaposababisha vifo ya watu kwenye mikutano yao huwa hamtoi matamko ya kishujaa kama haya!!!!hapo ndipo munaponiacha hoi nyie MAKAFIRI.!!
 
Huo ndio ukweli wenyewe. Sheikh Farid alijiteka mwenyewe, wakaipa serikali masaa 26 kumrelease, ilipofikia masaa 26 Sheikh Farid alijirelease kutoka mafichoni, kuonyesha serikali imesalimu amri kwa Uamsho
Sijui kwanini huwa munajitoa akili pale jambo linakuwa ni waislam????mbona akili za kawaida hazikubali kabisa!!!
 
Sijui kwanini huwa munajitoa akili pale jambo linakuwa ni waislam????mbona akili za kawaida hazikubali kabisa!!!

hivi nyinyi mnatumia vichwa vyenu vizuri. Huyu jamaa mnafikiri atamwaga mtama kwenye kuku ????

Hii kesi kubwa sana hawezi kueleza chochote uwanjani zaidi ya kwa lawyer wake kwanza. Hapa ni mpambano na vyombo vya dola na hii kesi inafuatiliwa internationally na HRW pamoja na Amnesty International
 
Sijui kwanini huwa munajitoa akili pale jambo linakuwa ni waislam????mbona akili za kawaida hazikubali kabisa!!!

Mkuu hakuna aliyezungumzia udini hapa. Tumezungumzia uhalisia. Bado tunaamini kuwa kikundi cha Uamsho ina dhamira ya kutaka kulichafua jina zuri la kiislamu kwa kufanya vurugu zisizokuwa na misingi.
Tunaamini kuwa waliochoma makanisa na kuua polisi siyo waislamu, bali wahuni waliojivika uislamu ili kuchafua uislamu
 
...Usalama wa taifa wakikuchukua kimyakimya ujue haurudi. Ulimboka walidhani ameshakufa that was the mistake.

Usalama wataifa sio wajingawajinga wakuteke halafu wakuachie urudi, huwa hawafanyi hivyo kwa sababu ukirudi mtaani umaarufu wako utazidi mara dufu, halafu utawasumbua.

Kama Farid alitekwa(kitu ambacho siamini) atakuwa ametekwa na wahuni wengine sio usalama wa taifa.

BREAKING NEWS Sauti ya UST Farid na Salma Said | Mzalendo.net
Kama nilivyosema mwanzo, hata kama Farid haamininiki sana kutokana na maelezo yake kuwa na kasoro, binafsi nasita pia kuwaamini polisi kutokana na matukio kadhaa yaliyopita na jinsi walivyojaribu kupindisha taarifa (morogoro, iringa, dr uli nk).

Kwa "moto" uliokuwa umeanza kuwaka zanzibar, ni wazi kuwa kama ni kweli uwt ndio walikuwa wamemkamata ni lazima wangefikiria mara mbili kabla ya kuamua kumdhuru kwa namna yoyote ile.

Na hata kitendo cha polisi kuamua kumshitaki haraka haraka kabla hata ya kufanya uchunguzi wa kina kujua nini hasa kilitokea (kama ni "wahuni" tu walimteka ama vipi), naona ni kasoro kubwa. Sioni ni vipi polisi wanaweza kujenga kesi yenye nguvu katika hili.
 
ulimboka22.jpg
DK.+ULIMBOKA.jpg
0000000000000001adkuli.jpg

Farid_3.jpg Farid_2.jpg Farid_1.jpg
 
mkuu kuna tofauti, ulimboka angalau kucha alinyofolewa na si huyu sheikh amerudi akiwa soft kama kawa.uchunguzi wa kina ufanyike!
eti wanausalama wa bongo wakae na wewe karibu siku mbili uunarudi umeshaini....we mcheki ponda siku anapelekwa mahakamani hakutekwa lakini hakuwa katka hali ya usafi kama mheshimiwa farid hapa kanzu inang'aa
 
Back
Top Bottom