Nje ya JF wana JF wote ni CDM, ndani ya JF wanaosema ukweli wote ni CDM. Ndio huo waraka uliosambzwa misikitini kuwa haya yote yanasababishwa na CDM unavyowaaminisha? Mnasema adui yenu ni BAKWATA, je CDM ndio waliounda BAKWATA? Nimeamini Uamsho ni Chama cha Siasa sio kikundi cha dini vinginevyo msingepambana na CDM badala yake mngepambana na mfumo kandamizi mnaosema unatokana na serikaliKama shekh farid hakutekwa na serikali basi mslazimishe kuwa dr.ulimboka alitekwa na serikali, nyie cdm vp au kwa kuwa shekh farid hamumtumii kisiasa?
Kwa takribani wiki 2 sasa naona wadau humu wanawasifia polisi na kuwaelekeza waue kabisaaaa,,,,,,,,
ila baadae msije kuanza kuwatukana polisi na kuwaona hawafai,,,,,,
sie yetu macho tu hapa,,,mtaanza kutaka tume na kamat ziundwe,,,,,,
Ni kweli mkuu chama hawa ndio wanatuletea uhasama na ndugu zetu WaislamuMkuu Precise Pangolin
Huyu gaidi inabidi afikishwa kwenye vyombo vya sheria kama noma na iwe ila wasimchekee tena; aunganishwe na mauji ya polisi; na muuaji kama walivyo wauaji wengine.
Chama
Gongo la mboto DSM
Dah!
Huyo Farid ni sheikh gaidi kabisa!
Aibu kwa uislamu na waislamu kuwa na sheikh wa aina hiyo!!
Ni kweli mkuu chama hawa ndio wanatuletea uhasama na ndugu zetu Waislamu
..hiyo yote ni kujaribu kuvuruga juhudi za wa-ZNZ kujitoa ktk muungano.
..nalaani kitendo kuwakamata na kuwashitaki viongozi wa UAMSHO. naamini kufanya hivyo kutachelewesha kurejeshwa kwa nchi yetu Tanganyika ikiwa dola isiyokuwa na muungano[wa mkataba, katiba,..] na dola yoyote ile.
..wa-Tanganyika tunasema tumechoka kuwapakata wa-ZNZ. hatutaki muungano wa aina yoyote ile na ZNZ.
..muungano uvunjwe tubakiwe na ujirani mwema na ushirikiano kupitia EAC na UN.