Hii ni Tanzania zaidi ya uijuavyo, wamalawi wako busy wanataka kutupiga, sisi tunahangaika na chadema
Mbona walisema hawana polisi wa kutosha kufanya ulinzi katika mkutano wa chadema na hao wametoka wapi?Habari wakuu!
Ikiwa yamebakia almost masaa 5 kabla ya kuanzia mkutano mkubwa wa CHADEMA chini ya M4C na viongozi wa kitaifa Mbowe, Dr.slaa etc,
Asubuhi leo polisi(FFFU) wengi wakiwa kwenye magari yao yenye bendera nyekundu, wameanza operation maalum ya kupita kila kona ya mji ili kutisha watu wasihudhurie ktk mkutano huo wa CDM.
MY OUTLOOK :
kazi ya dola kusupress upinzan nchii yaanza kazi rasmi, Tusiogope tusonge mbele wana CHADEMA.
"the thing that we have to fear, its only fear"
FEAR NOT.
Polisi katika manispaa ya mji wa Morogoro wamezuia operation sangara ya CHADEMA kwa sababu za kuwa hakuna askari wa kutosha kusimamia mikutano yao katika mkoa wa Morogoro.
Lakini pamoja na makatazo hayo CDM wamedai wao wataendelea na mikutano yao kama kawaida kwa sababu haisuani na fujo wala vurugu na siku zote Polisi huwa hawawasaidii kwa lolote.
Concern
Jeshi la PolisiCCM liko kwa ajili ya kuzuia CDM sio kulinda
Polisi katika manispaa ya mji wa Morogoro wamezuia operation sangara ya CHADEMA kwa sababu za kuwa hakuna askari wa kutosha kusimamia mikutano yao katika mkoa wa Morogoro.
Lakini pamoja na makatazo hayo CDM wamedai wao wataendelea na mikutano yao kama kawaida kwa sababu haisuani na fujo wala vurugu na siku zote Polisi huwa hawawasaidii kwa lolote.
Concern
Jeshi la PolisiCCM liko kwa ajili ya kuzuia CDM sio kulinda
Kwa wale mliopo moro tunaomba mtutupie up dates juu ya kinachoendelea kuhusiana na mkutano wa CHADEMA.
Mkuu hao vijana kwani na wao wameletwa na mafuso kama wale wa chama tarajiwa cha upinzani?Kwa taarifa kamili:
ilibidi kamanda wa polisi ampigie Mbowe simu ili kuwakataza vijana wa CDM waliokuwa wamejaa sana ktk ofisi za CDM za hapa moro, makundi makubwa ya vijana yaliendelea kujaa sana tayar kwa maandamano lakini walikuja viongozi wa CDM Benson kigaila, Rwakatare na mwita waitara wakatangaza kusitisha mkutano wake na badala yake utafanyika tarh 18 na hii imetokana na polisi kuwaplease sana viongzoi wa CDM kwani hali ilikuwa tete sana japo asubuhi 2.
Lakini kiukweli hapa Moro kuna mwamko mkubwa sana na hii ndio image nzima ya anguko la CCM mkoani hapa.
FEAR NOT.
Wana JF.
Kulikuwa na taarifa kuwa M4C ipo Morogoro leo ingawa taarifa za Polisi zilionesha kuwepo zuio la harakati za M4C hapo morogoro. Ninaomba kama kuna mwenye taarifa mpya atu-update.
Kwataarifa Rasmi mikutano ya chadema imeahirishwa, mpaka tarehe 08 nasiyo tarehe 18 Na hii nikutokana na viongozi wa juu wa chama pamoja na viongozi wa juu wa police kujadiliana, na ziara hii itaanzia ifakara.