RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,824
Hizo taa sio za gari mkuu. Wana modify tu wanaweka kwenye magari.Kama ziliruhusiwa kuuzwa nchini na zikalipiwa Ushuru na Makato Mengine halafu Leo ghafla unazipiga Marufuku wale wafanyabiashara wamefidiwa vp?