Mapya Yaja
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 560
- 403
Jeshi la Polisi limepiga marufuku kwa wenye magari na pikipiki kufunga taa zenye mwanga mkali kutokana na kulalamikiwa kuwa chanzo cha ajali wakati wa usiku.
Source: ITV-habari saa 2:00 usiku leo.
NB: Nawapongeza sana polisi kwa kuliona hili. Kuna watu wamefunga tube light kwenye magari na pikipiki. Sijui huwa wanajisikiaje wanaposumbua madreva wengine kwa vitaa vyao hivi.
Source: ITV-habari saa 2:00 usiku leo.
NB: Nawapongeza sana polisi kwa kuliona hili. Kuna watu wamefunga tube light kwenye magari na pikipiki. Sijui huwa wanajisikiaje wanaposumbua madreva wengine kwa vitaa vyao hivi.