Polisi yamzuia askofu Mokiwa Bukoba

Mokiwa anatughalimu sana Wana Anglican, mnatufanya tuchukie kanisa letu, hautakiwi na majority ya waumini kila Kona, jaribu kuwa na busara na umeweke Mungu mbele, kwani kuwa na kashfa TU ukiwa kama kiongozi WA Dini automatically haufai kuendelea kuwaongoza wanakondoo, Please please tuachie kanisa letu mnatuvuruga sana na hao ma padri wako uliowaonga viwanja vya buza
 
Anglikana imepoteza ladha kutokana namna viongozi wao wanavyochaguana Ukichanganya na mambo yao ya maaskofu/mapadiri wanaotoa MLANGO TAKA
 
Mokiwa anatughalimu sana Wana Anglican, mnatufanya tuchukie kanisa letu, hautakiwi na majority ya waumini kila Kona, jaribu kuwa na busara na umeweke Mungu mbele, kwani kuwa na kashfa TU ukiwa kama kiongozi WA Dini automatically haufai kuendelea kuwaongoza wanakondoo, Please please tuachie kanisa letu mnatuvuruga sana na hao ma padri wako uliowaonga viwanja vya buza

= anatugharimu
 
CCT wangekuwa serious hawa walikuwa wakupiga chini, aibu kwa kanisa la Mungu kuwa na migororo ya kijinga namna hii.
 
Back
Top Bottom