Polisi yahujumu mkutano wa madiwani wa CHADEMA

MARUMARU

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
250
53
Katika hali isiyo ya kawaida Polisi mkoa Kilimanjaro imewakatalia CHADEMA kufanya mkutano wao katika eneo walilokusudia kufanya mkutano, taarifa ya kukataliwa kufanya mkutano katika eneo la stendi imekuja saa chache kabla ya mkutano, hii iliwachanganya viongoziwa CHADEMA ili kwa busara waliamua kuhamishia mkutano huu Majengo. Ili cha kustaabisha polisi wamedai kwamba CHADEMA hawruhusiwa kufanya mkutano eneo kwa madai ni maegesho ya magari japo Nape aliruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara eneo miezi michache iliyopita, swali je polisi ni jeshi la CCM?
 
Absolom Mwakyoma kaanza kazi yake!
Hawa jamaa wa kwetu sijui wana ndoa gani na MAGAMBA, ni kama Thoby Andengenye wa Arusha
 
Nadhani ulichouliza ni jibu, sio swali! Sijui cdm wana mkakati gani wa kufanya mikutano kwenye kambi za polisi ili kuwapa elimu ya uraia maana mtazamo wangu ni kwamba UKOMBOZI WA NCHI YETU UTACHELEWESHWA SANA NA JESHI LA POLISI. Wasipopata elimu kwamba ukombozi tunaouzungumzia ni pamoja na wao kupata maisha mazuri basi safari yetu bado ni ndefu!
 
Katika hali isiyo ya kawaida Polisi mkoa Kilimanjaro imewakatalia CHADEMA kufanya mkutano wao katika eneo walilokusudia kufanya mkutano, taarifa ya kukataliwa kufanya mkutano katika eneo la stendi imekuja saa chache kabla ya mkutano, hii iliwachanganya viongoziwa CHADEMA ili kwa busara waliamua kuhamishia mkutano huu Majengo. Ili cha kustaabisha polisi wamedai kwamba CHADEMA hawruhusiwa kufanya mkutano eneo kwa madai ni maegesho ya magari japo Nape aliruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara eneo miezi michache iliyopita, swali je polisi ni jeshi la CCM?

kumbe wewe hujui kuwa polisi ni jeshi hivi ndivyo ilivyo.
 
nyie waacheni 2015 watakimbia nchi bila kufukuzwa,hawatojua wapi pa kuweka sura zao!wakumbuke nyimbo ya Sarafina Freedom iz Coming Tomorrow
 
Katika hali isiyo ya kawaida Polisi mkoa Kilimanjaro imewakatalia CHADEMA kufanya mkutano wao katika eneo walilokusudia kufanya mkutano, taarifa ya kukataliwa kufanya mkutano katika eneo la stendi imekuja saa chache kabla ya mkutano, hii iliwachanganya viongoziwa CHADEMA ili kwa busara waliamua kuhamishia mkutano huu Majengo. Ili cha kustaabisha polisi wamedai kwamba CHADEMA hawruhusiwa kufanya mkutano eneo kwa madai ni maegesho ya magari japo Nape aliruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara eneo miezi michache iliyopita, swali je polisi ni jeshi la CCM?

Kosa halihalalishi kurudia kosa
 
Polisi,bakwata ni jumuiya ndani ya ccm!hizi taasisi ndizo kikwazo kikubwa cha ukombozi wa tanzania
 
Nadhani ulichouliza ni jibu, sio swali! Sijui cdm wana mkakati gani wa kufanya mikutano kwenye kambi za polisi ili kuwapa elimu ya uraia maana mtazamo wangu ni kwamba UKOMBOZI WA NCHI YETU UTACHELEWESHWA SANA NA JESHI LA POLISI. Wasipopata elimu kwamba ukombozi tunaouzungumzia ni pamoja na wao kupata maisha mazuri basi safari yetu bado ni ndefu![/QUHao madiwani hawakuwa crias. Kwa nn wacngelazimisha kama walivyofanya Arusha? Wenye akili wanajua.
 
Wamefanya jambo zuri sana. Mkutano unafanyika sehemu maalum si kila sehemu inafaa kwa mikutano.
 
Kosa halihalalishi kurudia kosa



Kama kweli ccm walikosea kwanini mkutano wao haukuzuiliwa!? Unazi utakuponza! Soma vzur post zako maana kama unapost maelezo yanayokiri bwana'ako kakosea, malipo yakakuwa mashakani!
 
Sijaona polisi ya kijinga ktk dunia hii kama ya hapa,hawa jamaa hawana reasoning hata akitumwa akaue mkewe au mmewe yeye ni kufyatua tu risasi bila kujiuliza amekosa nini? Kazi tunayo
 
Wamefanya jambo zuri sana. Mkutano unafanyika sehemu maalum si kila sehemu inafaa kwa mikutano.



Peleka upuuzi wako huko! Sehemu maalumu ni kwa cdm peke yao!? Mbona alipofanya nape hamkuyasema haya?
 
Peleka upuuzi wako huko! Sehemu maalumu ni kwa cdm peke yao!? Mbona alipofanya nape hamkuyasema haya?

Kadiri hawa magamba wanavyoongeza chuki kwa cdm kutumia polisi ndivyo nguvu ya cdm inavyoongezeka!!!!!!!!!!!
 
Nadhani ulichouliza ni jibu, sio swali! Sijui cdm wana mkakati gani wa kufanya mikutano kwenye kambi za polisi ili kuwapa elimu ya uraia maana mtazamo wangu ni kwamba UKOMBOZI WA NCHI YETU UTACHELEWESHWA SANA NA JESHI LA POLISI. Wasipopata elimu kwamba ukombozi tunaouzungumzia ni pamoja na wao kupata maisha mazuri basi safari yetu bado ni ndefu![/QUHao madiwani hawakuwa crias. Kwa nn wacngelazimisha kama walivyofanya Arusha? Wenye akili wanajua.


Hao madiwani sio tu walikuwa serious lakini wana akili sana! Wangelazimisha wananchi wangepigwa mabomu na wao wangekamatwa halafu tbc na magazeti ya kesho yangefanya hiyo issue kuwa habari kubwa na kuiponda cdm kuwa hawakutii amri ya police! Halafu chama kingewapa ushindi wanaoeneza propaganda kwamba ni watu wa fujo. Nawapongeza sana kwa kufunika kombe mwanaharamu apite!?
 
nyie waacheni 2015 watakimbia nchi bila kufukuzwa,hawatojua wapi pa kuweka sura zao!wakumbuke nyimbo ya Sarafina Freedom iz Coming Tomorrow

Kamanda inaweza isifike 2015! Ni kwmb tumwombeni mwenyezi MUNGU sana kwani hawa vibaraka wa sisiem kwa kweli wanakera pasipo na vipimo. Ila wao wakae tu na siku nguvu ya UMMA wakichafukwa na mioyo hakika hata hizo bunduki wanazobebaga wataona ni mizigo.
 
Katika hali isiyo ya kawaida Polisi mkoa Kilimanjaro imewakatalia CHADEMA kufanya mkutano wao katika eneo walilokusudia kufanya mkutano, taarifa ya kukataliwa kufanya mkutano katika eneo la stendi imekuja saa chache kabla ya mkutano, hii iliwachanganya viongoziwa CHADEMA ili kwa busara waliamua kuhamishia mkutano huu Majengo. Ili cha kustaabisha polisi wamedai kwamba CHADEMA hawruhusiwa kufanya mkutano eneo kwa madai ni maegesho ya magari japo Nape aliruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara eneo miezi michache iliyopita, swali je polisi ni jeshi la CCM?

Mkuu huitaji kuwa Profesa kujua kuwa jeshi letu hasa polisi ni vibaraka wakubwa wa CCM,ila siku zao za kutamba na kufanya ufirahuni zinahesabika kwasasa...tutaanza na kwenye katiba mpya.
 
Back
Top Bottom