Mara kadhaa utawasikia viongozi wa jeshi la polisi wakitoa kauli zenye utata ili kuzuia ama maandamano au mikutano ya kisiasa ya wananchi eti wamepata taarifa za kiintelijensia juu ya uvunjifu wa amani kitu ambacho mara nyingi ni propaganda tu ya kuzuia haki za msingi za wananchi. Nchi hii ina safari ndefu hadi kufikia kilele cha demokrasia ya kweli.
Leo hii makamba anao uwezo wa kumpigia simu IGP ili azuie maandamano au mkutano wa wapinzani naye bila ajizi ataita press conference kwa mbwembwe na kusema kwamba taarifa za kiintelijensia zinaonesha kutakuwa na vurugu kumbe ni cooked story originated from makamba!!!
Leo hii makamba anao uwezo wa kumpigia simu IGP ili azuie maandamano au mkutano wa wapinzani naye bila ajizi ataita press conference kwa mbwembwe na kusema kwamba taarifa za kiintelijensia zinaonesha kutakuwa na vurugu kumbe ni cooked story originated from makamba!!!