- Aibu kwa Msajili wa vyama vya siasa aliyebariki mkutano na kutoa ruzuku kwa ajili ya mkutano huku akijua kuna zuio la Mahakama.
- Aibu kwa prof. Lipumba na genge lake kwa kutoheshimu mahakama.
- Aibu kwa demokrasia nchini.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha wananchi CUF wakiwa katika Ukumbi wa Lekama Social Hall Buguruni jijini Dar es Salaam leo. Picha na Anthony Siame.
Mwananchi: Polisi wazuia mkutano wa ‘CUF Lipumba’