kachumbari
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 125
- 8
Jamani leo mbona police wengi mitaani? KUNANI?
Jamani leo mbona police wengi mitaani? KUNANI?
Jamani leo mbona police wengi mitaani? KUNANI?
Sasa kama police ni wengi si ndo vizuri ili wakulinde maana siku hizi vibaka wengi, hivi umesema ni police wengi au trafki wengi mbona unanichanganya
labda ndo wanataka kumsoma the chakachua kama rais!
Nguvu ya Umma ina subiri maamuzi ya Rais wao Dr.Slaa.
Mungu habariki UOVUHa ha haaaaaa, nguvu ya umma au ya ushetani ? , nguvu ya umma ni kura na zimeisha pigwa tumemaliza uchaguzi huru na wa haki kwa amani na utulivu. Mungu ibariki Tanzania, Mungua Ibariki Afrika
Hatutaogopa Polisi. Naomba ujumbe huu uwafikie kwamba tutakapofikia maamuzi magumu hatutaogopa polisi.
Ha ha haaaaaa, nguvu ya umma au ya ushetani ? , nguvu ya umma ni kura na zimeisha pigwa tumemaliza uchaguzi huru na wa haki kwa amani na utulivu. Mungu ibariki Tanzania, Mungua Ibariki Afrika
Ha ha haaaaaa, nguvu ya umma au ya ushetani ? , nguvu ya umma ni kura na zimeisha pigwa tumemaliza uchaguzi huru na wa haki kwa amani na utulivu. Mungu ibariki Tanzania, Mungua Ibariki Afrika
Tunajua kinachokuweka hapo kwenye hiyo computer ni pesa za dola kwa hiyo kimsingi upo hapo kwa propaganda na kuganga njaa, inasikitisha jinsi mnavyotuchelewesha.Ha ha haaaaaa, nguvu ya umma au ya ushetani ? , nguvu ya umma ni kura na zimeisha pigwa tumemaliza uchaguzi huru na wa haki kwa amani na utulivu. Mungu ibariki Tanzania, Mungua Ibariki Afrika
Well said brother we all love our country.Mungu habariki UOVU
Inavyoelekea kwenye hilo hawawezi kuwa na majibu.Kweli ulikuwa huru, je haki?