Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,265
- 105,434
Kama wananchi wamewakataa, njia rahisi kabisa ya kuonesha hilo ilitakiwa iwe kuwaachia wafanye maandamano.Wananchi wamewakataa kabisa , wanataka kuichafua njia nyingine kuichafua nchi, asiyekubali kushindwa si mshindani wanadhani wananchikuwa hawajawaelewa ndio hata maandamano wananchi hawataki.
Halafu tungeona wananchi wanavyowakataa.
Kuwanyima haki yao ya kikatiba ya kuandamana kunaonesha serikali ya CCM inaogopa nguvu ya watu watakaowaunga mkono kwenye maandamano.
Hata kama wananchi hawawaungi mkono.