AGITATOR
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 4,897
- 6,089
Hiki chama cha Mbowe mapunguani mengi Sana. Wao bila Mbowe kuchaguliwa hakuna uchaguzi. Watanzania safari hii tumesema no kwenye saccos. Hiki Chama cha mawakala wa beberu, milele daima hakiwezi kutuongoza watanzania.Primitive ni wewe jomba, unayedhani demokrasia ni mpaka wewe ndiye utangazwe mshindi.