mwamajinja mapunga
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,074
- 607
Habari watu wa Mungu muda huu naandika huu uzi hapa limekuja karandika la polisi yaani Defender wakiwa wamevalia kishari sana wakiwa na sihala za Moto mtaa wa Njaro Temeke karibu na Kota za Polisi hapa za TAZARA kuna kauwanja hivii....
Nipo maeneo haya kuna fundi tumeleta lori hapa limesumbua control system kwa fundi Maarufu aitwaye China.
Nitawapa mrejesho kilichowaleta. Maana picha imepigwa kwa wizi sana na walikuwa mbali kidogo nime i zoom kidogo.
Asante najua wajuaji watakuja na maneno yao mara hoo unakimbia kimbia kuleta uzi shauri yako. Picha hapo chini
Nipo maeneo haya kuna fundi tumeleta lori hapa limesumbua control system kwa fundi Maarufu aitwaye China.
Nitawapa mrejesho kilichowaleta. Maana picha imepigwa kwa wizi sana na walikuwa mbali kidogo nime i zoom kidogo.
Asante najua wajuaji watakuja na maneno yao mara hoo unakimbia kimbia kuleta uzi shauri yako. Picha hapo chini