Uhalisia Jr
Senior Member
- Sep 10, 2012
- 134
- 46
Hata polisi nao ni watoto wa walalahoi tunaodhalilishwa kimaisha na vitendo vya MAFISADI wanaofilisi nchi.
Kuna nchi bara la asia ilitokea kua baada ya amri ya kuzuia maandamano ya wananchi kwa police, police pia walijiunga na maandamano wakiwa na silaha zao. Wakina mama walikua wakiandamana na masufuria huku wakiyapiga kwa vijiko kuashiria ugumu wa maisha....
Nadhani siku zinahesabika hapa kwetu.