Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Polisi mkoani Morogoro wameua watu wawili wasio na hatia walipokuwa wakiwatawanya jana.
Kamanda wa polisi mkoa huo Ulirch Matei amesema walifyatua risasi hewani ili kuwatawanya wananchi waliokuwa wakipinga kukamatwa kwa watu wawili waliokuwa wakituhumiwa kwa uhalifu ila risasi ziliposhuka zikauwa wawili na kujeruhi mmoja
Kamanda wa polisi mkoa huo Ulirch Matei amesema walifyatua risasi hewani ili kuwatawanya wananchi waliokuwa wakipinga kukamatwa kwa watu wawili waliokuwa wakituhumiwa kwa uhalifu ila risasi ziliposhuka zikauwa wawili na kujeruhi mmoja