Polisi waua tena raia' safari hii kilosa!

NDOFU

JF-Expert Member
Feb 23, 2009
656
144
Wamemuua mchungaji wa kimasai,ndugu zake wamedai hana hatia yoyote ,wamegoma kuzika mpaka aliyemuua akamatwe! RPC Morogoro adai aliyeuawa alikuwa mwizi sugu wa Ng'ombe.Source ITV taarifa.
 
Sipendi kushangilia uvunjifu wa amani lakini hili la Kilosa ni matokeo ya kufuga maradhi.
Wafugaji wa jamii ya kimaasai wamewanyanyasa sana wakazi wa kilosa kwa miaka mingi na kila wanapofanya makosa hutumia rushwa.
Niwakumbushe kuwa mwaka 2000 watu 33 waliuawa na hakuna mfugaji aliyefungwa.
Kwa kutumia rushwa wamewezesha uandikishwaji wa vijiji vipya bila kujali wakzi wa asili wa hapa.Vijiji kama Mabwegere,Kiduhi,Mbwade vyote vimeanzishwa kwamisisngi ya rushwa.
Leo wanalalamika kwa kuuliwa mtu mmoja na ambaye alikimbia askari lakini wamesahau kuwa maeneo kama kimamba si chini ya watu watatu ambao wameuawa na wafugaji katika miaka miwili iliyopita.
 
Hapo unamaanisha kwa vile waliua na yeye awawe pasipokuafuata sheria?
 
Niliiona hii taarifa na kwamba jamaa alimpiga risasi kwa nyuma mgongoni wakati jamaa anakimbia!
 
..When this police mission will reach to an end!! I think Tanzanians we are tired about this events of police to kill innocent people..Despite of shouts from various human rights groups and normal Tanzanians yet nothing happen.
 
huo ndio utawala wa sheria unaohubiriwa na ccm, come on!!!! juweni kuwa wanaojitoa muhanga si wajinga, mwanuka rushwa rushwa, damu za watu aghk mrzzz!!
 
Sitetei uovu ila jammi ya kimaasai imenyanyasa sana watu.
Askari aliyempiga risasi naamini ni mgeni kwani hawa askari wenyeji hawawezi kufanya hivyo kwani kwao kumkamata mmasai ni mtaji tosha,wasingediriki kumuua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kuna wakati jamii hii ilimwita mkuu wa wilaya "Shemeji".They know how to penetrate the system,wana solidarity wakiwa na shauri lolote polisi au mahakamani.
Leo mihogo na mbaazi ni tabu kwani ukivuna mahindi wanaingiza mifugo bila kujali kuwa kuna mazao mengine.
Postgraduate student wa sheria waje wafanye tafti huku,ni mashauri mangapi yamefikishwa polisi,mangapi yamekwenda mahakamani,mangapi yamehukumiwa na kwa kutumia vifungu gani?
 
sitetei uovu ila jammi ya kimaasai imenyanyasa sana watu.
Askari aliyempiga risasi naamini ni mgeni kwani hawa askari wenyeji hawawezi kufanya hivyo kwani kwao kumkamata mmasai ni mtaji tosha,wasingediriki kumuua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kuna wakati jamii hii ilimwita mkuu wa wilaya "shemeji".they know how to penetrate the system,wana solidarity wakiwa na shauri lolote polisi au mahakamani.
Leo mihogo na mbaazi ni tabu kwani ukivuna mahindi wanaingiza mifugo bila kujali kuwa kuna mazao mengine.
Postgraduate student wa sheria waje wafanye tafti huku,ni mashauri mangapi yamefikishwa polisi,mangapi yamekwenda mahakamani,mangapi yamehukumiwa na kwa kutumia vifungu gani?
kama ulikuwepo .askari huyo atakuwa mgeni .masai dili sana
 
Wamemuua mchungaji wa kimasai,ndugu zake wamedai hana hatia yoyote ,wamegoma kuzika mpaka aliyemuua akamatwe! RPC Morogoro adai aliyeuawa alikuwa mwizi sugu wa Ng'ombe.Source ITV taarifa.

zis kantre bwana..... Hivi Haijui thamani ya watu wake? Au wanatumaliza ili wabaki wenyewe?
 
..When this police mission will reach to an end!! I think Tanzanians we are tired about this events of police to kill innocent people..Despite of shouts from various human rights groups and normal Tanzanians yet nothing happen.
acha ujinga. Kwanza kiingereza hujui, tabu 2pu. Lakn mbona polisi wakiuawa na nyie raia mbona hamsemi? Juzi Mbeya polisi si ameuawa na mwingine yupo mahututi hospital?! Kwa taarifa yako toka mwaka huu uanze tayari polisi zaidi ya 6 wameshauawa na raia lakn hatusikii kelele zenu za kupinga muaji hayo licha ya kuwepo haya NGO'S km LHRC, n.k. Acha nao walipize.
 
Back
Top Bottom