MMASSY
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 290
- 193
Nakumbuka vizuri sana baada ya Kikwete kuhadaa umma uliompa kura japo usalama ulilaumiwa kwa kuchakachua kwa ushirikiano na wana Chama Cha Majambazi,aliwaomba radhi mabalozi kwa kusema hayatatokea tena yale ya Arusha,Leo hii Mwekezaji tayari kasababisha wengine watatu Mbeya kufariki.Je sio kwamba kuna ajenda za kichama kuwakomoa wananchi ambao waliisaliti CCM Oct.2010?TUWE MAKINI SANA!!