Polisi watambua mwili wa Mtanzania Catherine Lyamvi Ngongoseke wa California, Marekani, anayesadikiwa kuuawa na mwanae

Unaongelea kesi ambazo ni political oriented. Nadhani tupmgelee uwepo wa wapelelezi wenye weledi na utaalamu.

Hata hao unaotaja wanajua kabisa pale wanachofanya sio ambavyo kanuni na miongozo ya kazi yao inavyowataka.

Turudi kwenye mada ya uwepo wa wapelelezi wenye uwezo wa kufanya upelelezi kama huo wa marekani uliopelekea huyo mtuhumiwa kukamatwa maana waliomkamata ni polisi wetu baada ya kushirikiana na taarifa zilizotoka marekani.

Hata hapa wenyewe ni anajua ukiua utakamatwa Ila ukiiba nao wataiba ulichoiba sababu ya kipato na kukosa weledi kwa wengi wao.

Wacha maneno we Muziki.

Tuna polisi mizigo ambao ndiyo wametufikisha huku:

IMG_20211225_085219_327.jpg


Tumeambiwa rasmi kwamba ufaulu wao unahimizwa kuwa ni Div 0.

Leo tunaulizana wako wapi kina Ben, Azory, Urio, Malema, Lijenje na wenzao.

Kumbuka kuna ushahidi wa wazi wa bwana Mhina kwamba kwenye kukamatwa kwao, kulikuwa na makumi kama si mamia ya polisi wa ziada standby kama angekomaa.

Katika mazingira hayo Lijenje alitoweka vipi kutoka RAU madukani?

Moses Lijenje yuko mikononi mwa jeshi dhwalimu la polisi lililoamua kumfanya lolote litakalo.

Jeshi la namna hiyo haliwezi jujivunia weledi wa namna yoyote. Jeshi la namna hiyo halifai.

Huo ndiyo ulio ukweri.
 
Ni ukweli...TZ kuna wapelelezi wazuri huwezi amini

Angalia kesi km za akina erasto msuya..
Mbona wauaji walipatkana?

Ukiwa na kesi weka pesa mezani uone,
Hakuna kitu kinawashinda wapelelezi wetu
Kwahiyo hawafanyi kazi hadi mtu utoe hela??
 
Mkuu wakati mwingine msipende kutoa tu sifa ambazo hazistahili, ni kuwa huyu binti alikuwa anawaambia wenzie hapa Bongo kuwa kakimbia marekani baada ya kumuua mama yake, na ndipo hao wenzake wakatoa ripoti polisi wa Tanzania ambao ndio waliokuwa wa kwanza kumkamata na kutoa ripoti ubalozi wa Marekani ambao walifuatilia hilo suala huko Marekani,kwa hiyo hapa sifa ni kwa jeshi letu na si jeshi la Marekani.
Police wa Tanzania hakuna kitu
 
Na Mimi nimekuwa surprised .Mtu hawezi kumuua mama ake mzazi Kwa Sababu hiyo hata kama muuaji is a crack fiend...

Angeweza ku move on Na mipango yake
Kwakweli, alikuwa ana uwezo wa kuoa/kuolewa bila mama ake kukubali, hii sababu ni nyepesi sana
 
Binti mwenyewe uvaaji wake kwenye hiyo video kama tomboy fulani hivi, ambaye dish lishacheza
 
Mkuu wakati mwingine msipende kutoa tu sifa ambazo hazistahili, ni kuwa huyu binti alikuwa anawaambia wenzie hapa Bongo kuwa kakimbia marekani baada ya kumuua mama yake, na ndipo hao wenzake wakatoa ripoti polisi wa Tanzania ambao ndio waliokuwa wa kwanza kumkamata na kutoa ripoti ubalozi wa Marekani ambao walifuatilia hilo suala huko Marekani,kwa hiyo hapa sifa ni kwa jeshi letu na si jeshi la Marekani.
Sifa ni kwa majirani
 
Mkuu wakati mwingine msipende kutoa tu sifa ambazo hazistahili, ni kuwa huyu binti alikuwa anawaambia wenzie hapa Bongo kuwa kakimbia marekani baada ya kumuua mama yake, na ndipo hao wenzake wakatoa ripoti polisi wa Tanzania ambao ndio waliokuwa wa kwanza kumkamata na kutoa ripoti ubalozi wa Marekani ambao walifuatilia hilo suala huko Marekani,kwa hiyo hapa sifa ni kwa jeshi letu na si jeshi la Marekani.

Kwamba?

"... kwa hiyo hapa sifa ni kwa jeshi letu na si jeshi la Marekani."

Kina Sirro, Kingai Mahita, Goodluck Jumanne na kina Msemwa nao wamo humo?
 
... kama Kingai na timu yake walivyowadaka makomandoo Rau Madukani kwenye kibanda cha mama muuza mbege! Tuko vizuri tutembee vifua mbele kwa mbele.
Naona hii sikukuu unatimia muda wa kustarehe kubishana wacha Nile mbuzi na bia karibu migombani
 
Yani nimeisikiliza sauti ya huyo Dada probably ni mlevi wa madawa au mvutaji sana.sikiliza nawewe utaniambia.
Hii ni hatari sana wenyewe wanayaita madawa haya recreational drugs
Recreational drugs (cocaine, marijuana, or methamphetamine). That are used without medical justification.
 
Back
Top Bottom