Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
Kuna habari kuwa pilisi kanda ya ziwa wamewaomba watanzania kumwombea mwenzao aliyeumizwa na raia,
My take.
Polisi kupigwa na raia si sawa ila polisi kuuwa raia tena wasio na kosa ni haki na wanawaita wahuni,naomba watanzania tuungane kupinga huu uonevu, tumtake igp awachukulie hatua ingawa haonekani hata kujali ikishindikana tujipangekuwaonyesha kuwa hatukubaliani na uonevu huu.
My take.
Polisi kupigwa na raia si sawa ila polisi kuuwa raia tena wasio na kosa ni haki na wanawaita wahuni,naomba watanzania tuungane kupinga huu uonevu, tumtake igp awachukulie hatua ingawa haonekani hata kujali ikishindikana tujipangekuwaonyesha kuwa hatukubaliani na uonevu huu.