Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
NCCR wamekosea, wangemwalika Hamza, manjagu wangekimbia kama manyumbuMungu mbariki Hamza
NCCR wamekosea, wangemwalika Hamza, manjagu wangekimbia kama manyumbuMungu mbariki Hamza
Siku watu wakiamua kuitafuta haki yao kwa njia nyingine nchi hizi hakuna atakayesuruhishaTaarifa ya Edward Simbeye ambae ni Mkuu wa Idara ya Uenezi wa chama hicho imesema polisi wamedai ni marufuku kwa vyama kufanya vikao vyovyote bila kibali maalum toka polisi.
" Polisi wenye Silaha nzito na Mabomu ya machozi gari 3 zimezingira Ukumbi uliokuwa ufanyike kikao chetu cha Kamati kuu ya NCCR-MAGEUZI kwamba hakuna kikao chochote cha Siasa kinaruhusiwa kufanyika bila kibali maalumu kutoka jeshi la Polisi.
Wamefunga geti la kuingia na kutokea eneo la Kikao hakuna mtu kuingia ndani ya Kikao." Edward Simbeye
Kazi iendeleeView attachment 1911967View attachment 1911968
Wakitaka tuwaelewe wafanye hivyo kwa CCM.wanataka kubalance uonevu wanaowafanyia CHADEMA kwa kuzuga kuwafanyia wengine, hawana chochote hao.
Target ni CHADEMA na siyo NCCR
Taarifa ya Edward Simbeye ambae ni Mkuu wa Idara ya Uenezi wa chama hicho imesema polisi wamedai ni marufuku kwa vyama kufanya vikao vyovyote bila kibali maalum toka polisi.
" Polisi wenye Silaha nzito na Mabomu ya machozi gari 3 zimezingira Ukumbi uliokuwa ufanyike kikao chetu cha Kamati kuu ya NCCR-MAGEUZI kwamba hakuna kikao chochote cha Siasa kinaruhusiwa kufanyika bila kibali maalumu kutoka jeshi la Polisi.
Wamefunga geti la kuingia na kutokea eneo la Kikao hakuna mtu kuingia ndani ya Kikao." Edward Simbeye
Kazi iendeleeView attachment 1911967View attachment 1911968
Hii ndiyo intelijensia pekee polisi wa Siro wanayo iweza.Taarifa ya Edward Simbeye ambae ni Mkuu wa Idara ya Uenezi wa chama hicho imesema polisi wamedai ni marufuku kwa vyama kufanya vikao vyovyote bila kibali maalum toka polisi.
" Polisi wenye Silaha nzito na Mabomu ya machozi gari 3 zimezingira Ukumbi uliokuwa ufanyike kikao chetu cha Kamati kuu ya NCCR-MAGEUZI kwamba hakuna kikao chochote cha Siasa kinaruhusiwa kufanyika bila kibali maalumu kutoka jeshi la Polisi.
Wamefunga geti la kuingia na kutokea eneo la Kikao hakuna mtu kuingia ndani ya Kikao." Edward Simbeye
Kazi iendeleeView attachment 1911967View attachment 1911968
Ndo maana sikusikitikia hata kidogo vifo vya wale nguruwe juzi pale salender wamezidi upumbavu.Polisi wanafanya ugaidi kwa raia openly halafu tunalazimishwa kuamini kinyume chake kwa sauti za video za kutengeneza.
Tena walitakiwa wafe zaidi ya hapoNdo maana sikusikitikia hata kidogo vifo vya wale nguruwe juzi pale salender wamezidi upumbavu.
Huyu bibi ni hatari kuliko coronaSinging sweet melodies....
Kamati Kuu si ina watu wanne tu au sana sana watano? Hawaba Mbunge, hawana Diwani, hawana serkali za mitaa, tunamu.oba Mbatiya tu. Kwa nini kikao kusifanyikue Ofisini kwao?Taarifa ya Edward Simbeye ambae ni Mkuu wa Idara ya Uenezi wa chama hicho imesema polisi wamedai ni marufuku kwa vyama kufanya vikao vyovyote bila kibali maalum toka polisi.
" Polisi wenye Silaha nzito na Mabomu ya machozi gari 3 zimezingira Ukumbi uliokuwa ufanyike kikao chetu cha Kamati kuu ya NCCR-MAGEUZI kwamba hakuna kikao chochote cha Siasa kinaruhusiwa kufanyika bila kibali maalumu kutoka jeshi la Polisi.
Wamefunga geti la kuingia na kutokea eneo la Kikao hakuna mtu kuingia ndani ya Kikao." Edward Simbeye
Kazi iendelee.
View attachment 1911967View attachment 1911968
Magufuli bado anaishi ndani ya dadake.Taarifa ya Edward Simbeye ambae ni Mkuu wa Idara ya Uenezi wa chama hicho imesema polisi wamedai ni marufuku kwa vyama kufanya vikao vyovyote bila kibali maalum toka polisi.
" Polisi wenye Silaha nzito na Mabomu ya machozi gari 3 zimezingira Ukumbi uliokuwa ufanyike kikao chetu cha Kamati kuu ya NCCR-MAGEUZI kwamba hakuna kikao chochote cha Siasa kinaruhusiwa kufanyika bila kibali maalumu kutoka jeshi la Polisi.
Wamefunga geti la kuingia na kutokea eneo la Kikao hakuna mtu kuingia ndani ya Kikao." Edward Simbeye
Kazi iendelee.
View attachment 1911967View attachment 1911968
Toka lini vikao vya ndani vikahitaji KIBALI cha polisi? Tena siyo kongamano, kikao cha kikatiba, cha Kamati Kuu ya Chama?Kumbe hawakuwa na kibali ,walitakaje kwa mfano?
USSR
AmeenMungu mbariki Hamza