Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,634
- 26,040
Yaani huyu huyu kilaza Mmawia au mwigine?Mtu mmoja akatufunga kamba eti Mmawia ana masters!
Yaani huyu huyu kilaza Mmawia au mwigine?Mtu mmoja akatufunga kamba eti Mmawia ana masters!
Ugaidi unajua uchumi, siasa na mambo ya kijamii? Tusiazime akili kwa kila changamoto inayotupata..hiyo ni operation ya kijeshi.
..eneo la kusini linahitaji pia operation ya kiraia.
..usiporekebisha au kuboresha mazingira ya kiuchumi, kisiasa, na kijamii, matokeo yake ndiyo ghasia tulizozishuhudia huko.
Aibu sana Kwa SADC
Huyu huyu anayejibu kama hamnazo 😂😂Yaani huyu huyu kilaza Mmawia au mwigine?
Hahahaha source ya habari ni yy mwenyeweDogo unachekesha sana,unaandika mwenyewe kizungu halafu unajadili,nini chanzo cha habari yako?