Msaranga
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 956
- 227
ukiona hivi ujue ukombozi wa taifa letu umekaribiaMbona ni jambo la kawaida kwa mpambanaji yoyoye yule kukumbwa na misukuko suko.Wale wasio wapambanaji hawawezi kukumbana na dhoruba kama hizi.Wakaze buti karibia wanakaribia kufika nchi ya ahadi.