Polisi wapekua tena nyumba ya Lwakatare

usimlilie mtu ama chama, lilia nchi yako na watanzinia wenzako, wanasiasa wote hawana dini wala loyality, they only have interest. Cdm will sell lwakatare to the highest bidder, and make some sort of a deal, n ccm will be happy with that, na baadaye business as ussual. So dont shed any tear my dear, au this is crocodiles tears

haya ni mawazo yako na upotoshaji wako, utawashawishi wasiotumia kichwa kufikiri
 
wapumbavu xana wanatengenez visa vya kipumbavu ili waweze kukianguxha chama!chadema itaendelea kusimama coz hiki kixa kitatuongezea wabunge kadhaa mwaka 2015...!!
 
mimi nashindwa kupata jibu ukiangali kwa makini hiyo video utaona kuna vitu ambavyo si vyakawaida kama ujumbe wenyewe ulivyo mfano mihayo ya kila mara,mazingira yaliyo mzunguka na sauti ya lwakatare ipo chini kuliko ya wale waliyo kuwa wanapokea ujumbe.kwamtu mwenye akili utaona kuwa hiyo video imegushiwa ila walikuwa wanatengeneza mazingira ya watu kuamini.inamaana Lwakatare hana ofisi.kuingiza vidole puani na kujifuta kwenye nguo.walijitaidi kutafuta uwalisia ila wameshindwa.
 
nabado jinsi mission ilivyokuwa inapangwa utazani wanaongelea michango ya harusi wakati issue ni ya hatari sana ambayo hata punguani hawezi kupanga kwa staili hiyo na mazingira na mbaya zaidi alipokaa lwakatare kwa nyuma kuna kadirisha na kuna mtu alikuwa anachungulia kavaa flana nyekundu kweli Lwakatare alijiamini vipi au akujua kama nyuma yake kuna dirisha.kwa mwanga unavyo onekana inaonyesha ni sehemu ya wazi na huyu mtu aliyengia kaita Jina Rich najua anasababu inayo endena na mission yake na aliingia pila hata kusikia mlango unafunguliwa inamaanisha palikuwa ni sehemu ya wazi na uku akionekaka dada akipita karibu yao.
 
watanzania amkeni kila siku matukio mabaya yana malizwa na skendo za kizushi ambazo zinawapelekea watanzania na wapinzani kusahau kilicho tokea na kuweka mawazo yao na masikio yao katiki uzushi hii imekuwa kawaida sasa.yule kubenea issue yake ya tindikili imeishia wapi? ulimboka ? mwangosi walitaka kupika ila wakasahau kuweka chumvi.haya hii ya ndugu yetu wa mwananchi wanataka kuipoteza kwanjia ya kujisafisha wenyewe na chama chao ila wananchi tusiwe kama bendera tufikie point tufungukeee bila kuyumbishwa na propaganda.
 
Kwa wale magwiji wa sheria za Tanzania, Naomba nisaidiwe,

Kwa sheria ya Tanzania, how many maximum days suspect anatakiwa kuwa mahabusu kabla ya kuwa charged or released.
Mkuu Ng'wanamapalala, hili sio swali lililohitaji gwiji wa sheria kulijibu, ni swali linalopaswa kujulika`na na kila Mtanzania mwenye miaka zaidi ya 14!, yaani ilitakiwa kufundishwa kwenye somo la civics darasa la saba kwa sababu linahusu haki za raia ambazo kila anayefikisha legal age ya kushitakiwa anapaswa kulijua. Legal age ya mwisho ya mtoto kwa Tanzania ni miaka 14 (minor), age of majority ni miaka 18, umri wa mtu mzima unaanzia miaka 21.

Kisheria mtu anapokamatwa na polisi, anatakiwa kushikiliwa kwa muda wa 24 tuu za "working days" yaani kati ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 9:30 jioni. Jumamosi na Jumapili, hazihesabiwi!. Hivyo mtu akikamatwa Alhamisi jioni, atafikishwa mahakamani Jumatatu asubuhi, na hiki ndicho kitakacho fanyika kesho!.

Kwa vile serikali, inatambua umaarufu wa Rwakatare ni public figure, na umaarufu wa Chadema ni "chama pendwa, na hoja iliyopo mezani kumhusu utekaji wa mwandishi, in a light ya mwandishi mwingine aliyefanywa mbaya, ukijumlisha na Chadema walivyo makini kwenye mass mobilization za kufanya mikusanyiko au maandamano, then hii kesi itakuwa labeleed "very high public interest case!", hivyo (kwa maoni yangu), serikali itahakikisha haitoi ratiba ya muda halisi ambao atafikishwa mahakamani, kwa sababu kesho tangu asubuhi, wana Chadema wataamkia Kisutu. Wakisubiri hadi saa 7 bila kuona kitu, watasambaa!. Saa 9:00 alasiri, watawajulisha mawakili wake, saa 9:15 atatinga mahakamani straight kwenye chembers na kusomewa mashitaka yake, hatatakiwa kujibu chochote kwa hoja kuwa upepelezi unaendelea na serikali itaiomba mahakama imnyime dhamana kwa hoja kuwa akiachiwa kwa dhamana, ataingilia upelelezi kwa kisingizio, ule mkanda bado haujapatikana!.

The motive behind sio kutoa haki, kutenda haki au kuhgakikisha haki inatendeka, but ku frustrate Chadema na mshishangae kama viongozi wa juu wa Chadema will be joined in depending Rwakatare amesema nini!.

Pasco.
 
Pasco ninashukuru kwa maelezo yako ya kina.

Niliuliza hilo swali nikiwa na maana na majibu mbali mbali niliyopata kutoka kwa wana JF yalinipa kile nilikuwa ninakotafuta kwa kina.

Hatumaini kesi haitaendeshwa kisiasa kwa sababu kufanya hivyo itakuwa ni kutowatendea haki watu waliathirika na kile kilicho nyuma ya hii movie/mission.

Kuna kitu hakiongelewi hapa na watu wengi ambacho nafikiri kinatoa picha mbaya sana ndani ya CHADEMA

Hii mission pamoja na mambo mengine, ilikuwa inatafuta jinsi ya kumnyamazisha mwandishi fulani ambaye kwa kalamu na weledi wake, yeye ndiye kirutubisho cha ufanisi wa kisiasa kwa Mh. Zitto.

Lwakatare ameipa CHADEMA mtihani mgumu kisiasa.
 
Last edited by a moderator:
Naamini kabisa polisi wana maelekezo juu nini wanatakiwa kufanya kwa hayo mambo wanayojidai kuyafanyia uchunguzi kwa sasa. Wanachojaribu kufanya sasa ni kuweka mazingira ya kuaminisha umma kuwa kitakachotolewa ama kuelezwa ni matokeo ya uchunguzi wao.
imani yako yaweza kuwa ya kweli maana watu wote tunajua polisi wanapeleka mashitaka na ushahidi mahakamani na baada ya hapo inaachiwa mahakama.
Tumeona kilichotokea baada ya mahakama kutoa maamuzi yake kinavyoweza kuifanya hii nchi iingie hatua mpya ya jinsi gani ya kufuatilia matatizo yetu ya kisheria maana ni wazi kwa sasa sio
 
Back
Top Bottom