Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Kwa wale magwiji wa sheria za Tanzania, Naomba nisaidiwe,
Kwa sheria ya Tanzania, how many maximum days suspect anatakiwa kuwa mahabusu kabla ya kuwa charged or released.
mkuu naamini wewe uko kwenye system pia, kwa tanzania hakuna linaloshindikana kuna jaama namfahamu aliwahi kukaa miezi 15 bila kufikishwa mahakamani na baada ya hapo akaachiwa huru....