Salathiel m.
Senior Member
- Mar 12, 2011
- 185
- 41
hivi hapa inakuaje? Au polisi hua wanatumwa? Hata wakisema polisi waliohusika watachukuliwa hatua lakin hua hatusikii iyo kesi inapoishia. Mbona wale wanajeshi waliotuhumiwa kumuua mtoto wa fundikila walihukumiwa fast tena ndani ya miaka 2 kila kitu kikawa kimeisha tena walitumia ushahidi wa kimazingira tu.