Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,496
- 23,676
Kawaida tulizoea kuona gari za polisi miaka ya nyuma zilikuwa ni 110 defender, zikaja land cruiser mkonga, na kabla ya hapo kama sikosei zilikuwa VW maarufu kwa jina la bito zilikuwa ni hutchback kama sikosei.
Miaka ya karibuni Land Cruiser Mkonga na kiasi Land Rover 110 Defender ndo zimekuwa gari za mapolisi. Wale wenye vyeo wanatumia V8 aka Kilimo kwanza.
Lakini nmeshangaa kuona Toyota Kluger ina namba za polisi . YAANI PT njano na nyeusi. Je wameanza kutumia na hizi gari au ni muda huwa wanatumia? Baadhi ya inchi Jeshi la Polisi huwa linakuwa na sera za matumizi ya gari.
Kwa kuangalia uimara na kasi au speed ya gari husika. Je kwa sisi hii haihusu? Maana pia nmewahi ona SUZUKI VITARA ina namba za Polisi. Na siku moja nliona Toyota Spacio inatumika kumuingiza Aliyesemekana kuwa ni jambazi baada ya maaskari kanzu kumfuatilia.
Je nini hutumika kuamua magari ya Rais, Mawaziri na Wanajeshi/Askari. Yawe ya Doria au Wakubwa kwenye mizunguko yao ya kikazi.
Miaka ya karibuni Land Cruiser Mkonga na kiasi Land Rover 110 Defender ndo zimekuwa gari za mapolisi. Wale wenye vyeo wanatumia V8 aka Kilimo kwanza.
Lakini nmeshangaa kuona Toyota Kluger ina namba za polisi . YAANI PT njano na nyeusi. Je wameanza kutumia na hizi gari au ni muda huwa wanatumia? Baadhi ya inchi Jeshi la Polisi huwa linakuwa na sera za matumizi ya gari.
Kwa kuangalia uimara na kasi au speed ya gari husika. Je kwa sisi hii haihusu? Maana pia nmewahi ona SUZUKI VITARA ina namba za Polisi. Na siku moja nliona Toyota Spacio inatumika kumuingiza Aliyesemekana kuwa ni jambazi baada ya maaskari kanzu kumfuatilia.
Je nini hutumika kuamua magari ya Rais, Mawaziri na Wanajeshi/Askari. Yawe ya Doria au Wakubwa kwenye mizunguko yao ya kikazi.