Rumishaeli
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 227
- 72
Jamani hawa jamaa wanaoitwa polisi wamepewa kura za kuchakachua matokeo wanapovamia kituo ambacho hakijatangaza matokeo yake wanakuja na kura nyingine ambazo ni feki then baada ya muda wa purukushani kuisha wanasema kura zihesabiwe upya kumbe tayari washaleta kura mpya. :israel: