ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Taarifa yako haijakaa vizuri mkuu! hebu fafanua vizuri hao watu waliouawa na polisi wa ccm waliuawa katika mazingira gani?
Je, walikuwa kwenye maandamano?
Au walikuwa majambazi?
Au walikuwa wanapita tu njiani wakaamua kuwapiga risasi
ili uelewe alichokisema, tafadhali pitia link hii
[h=1]Topic: Vurugu kubwa zaibuka dodoma[/h]