samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,954
Habari zenu wakuu, hii nimeiona mara nyingi sana na imekuwa ni kawaida kwa askari Polisi,mwanajeshi au maofisa wa serikali kuwa juu ya sheria sijajua kama ni sheria zetu ndio zinasema hivo au ni mazoea tu ???
Kwa mfano, ni jambo la kawaida Polisi akiwa kwenye gari yake binafsi kutokutii sheria za barabarani kisa tu amevaa sare za kazini. Na ndio hivyo hivyo kwa wanajeshi au usalama wa taifa na wengineo wenye mamlaka kwenye nchi hii kutokutii sheria za barabarani au mara nyingine hata kwenye vyombo vya maamuzi watatumia nyadhifa zao.
Waweza kumkuta mwanajeshi anaenda kumkamata mtu kitemi kumfikia kituo cha polisi kisha akawaamuru Polisi ole wenu mumtoe bila ya ruhusa yangu mutanijua mimi ni nani jamani hii sheri inasemaje kwenye vitu hivi ????
Kwa mfano, ni jambo la kawaida Polisi akiwa kwenye gari yake binafsi kutokutii sheria za barabarani kisa tu amevaa sare za kazini. Na ndio hivyo hivyo kwa wanajeshi au usalama wa taifa na wengineo wenye mamlaka kwenye nchi hii kutokutii sheria za barabarani au mara nyingine hata kwenye vyombo vya maamuzi watatumia nyadhifa zao.
Waweza kumkuta mwanajeshi anaenda kumkamata mtu kitemi kumfikia kituo cha polisi kisha akawaamuru Polisi ole wenu mumtoe bila ya ruhusa yangu mutanijua mimi ni nani jamani hii sheri inasemaje kwenye vitu hivi ????