M-pesa JF-Expert Member Sep 4, 2011 602 151 Nov 23, 2011 #1 kama huamini fanya research na utagundua hilo. Wengi wanatumia vyeti visivyo vyao, hasa vyeti vya secondary.
kama huamini fanya research na utagundua hilo. Wengi wanatumia vyeti visivyo vyao, hasa vyeti vya secondary.
Safety last JF-Expert Member Mar 24, 2011 4,227 1,389 Nov 23, 2011 #2 M-pesa said: kama huamini fanya research na utagundua hilo. Wengi wanatumia vyeti visivyo vyao, hasa vyeti vya secondary. Click to expand... kwa hiyo unataka nini kwani hawatoi huduma hao wenye vyeti vyenye majina halali wamefanya lipi jipya
M-pesa said: kama huamini fanya research na utagundua hilo. Wengi wanatumia vyeti visivyo vyao, hasa vyeti vya secondary. Click to expand... kwa hiyo unataka nini kwani hawatoi huduma hao wenye vyeti vyenye majina halali wamefanya lipi jipya
WA-UKENYENGE JF-Expert Member Oct 1, 2011 2,918 1,233 Nov 23, 2011 #3 Hilo mbona linajulikana! Na wengi wao ndo wanapiga kazi na hao hao pia wanaoturudisha nyuma kwa kuogopa kutibuliwa inshu za vyeti zao.
Hilo mbona linajulikana! Na wengi wao ndo wanapiga kazi na hao hao pia wanaoturudisha nyuma kwa kuogopa kutibuliwa inshu za vyeti zao.
M-pesa JF-Expert Member Sep 4, 2011 602 151 Nov 23, 2011 Thread starter #4 Safety last said: kwa hiyo unataka nini kwani hawatoi huduma hao wenye vyeti vyenye majina halali wamefanya lipi jipya Click to expand... kama nimekugusa pole, ndio maana mnakataa vitambulisho vya taifa? Nimesahau na masekretari
Safety last said: kwa hiyo unataka nini kwani hawatoi huduma hao wenye vyeti vyenye majina halali wamefanya lipi jipya Click to expand... kama nimekugusa pole, ndio maana mnakataa vitambulisho vya taifa? Nimesahau na masekretari
V Vitalino mlelwa Member Oct 22, 2011 94 10 Nov 23, 2011 #5 Mmeenda mbali tuanze kukagua bungeni kwanza ndio mfike huko na krikri batri low!!!
M-pesa JF-Expert Member Sep 4, 2011 602 151 Nov 23, 2011 Thread starter #6 Sidhani kama wabunge wanaweza kuwa kwenye scandal kubwa namna hii Vitalino mlelwa said: Mmeenda mbali tuanze kukagua bungeni kwanza ndio mfike huko na krikri batri low!!! Click to expand...
Sidhani kama wabunge wanaweza kuwa kwenye scandal kubwa namna hii Vitalino mlelwa said: Mmeenda mbali tuanze kukagua bungeni kwanza ndio mfike huko na krikri batri low!!! Click to expand...
Safety last JF-Expert Member Mar 24, 2011 4,227 1,389 Nov 23, 2011 #7 M-pesa said: kama nimekugusa pole, ndio maana mnakataa vitambulisho vya taifa? Nimesahau na masekretari Click to expand... mimi nimejiajiri mkuu , ila nawaheshimu sana hao uliowa taja!
M-pesa said: kama nimekugusa pole, ndio maana mnakataa vitambulisho vya taifa? Nimesahau na masekretari Click to expand... mimi nimejiajiri mkuu , ila nawaheshimu sana hao uliowa taja!