Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Hivi CCM na mapolisi wao wamepanga kuwakamata na kuwafungulia maashitaka wabunge na viongozi wangapi wa CDM huko Arumeru?
Habari nilizozinusanusa ni kwamba viongozi watatu wa CDM yatawapata hayo V. Nyerere, G. Lema naMchungaji Msigqwa.
VN kasha ingia katika frame ya mapolisi wa CSDm kutokana na kauli yake kuhusu kifo cha Mwalimu Nyerere, ingawa aliyosema Mbunge huyo wa Musoma ni huenda ni kashfa tu (libel) , suala la kesi za madai (civil case) na siyo criminal case. Ngojeni tu.
Habari nilizozinusanusa ni kwamba viongozi watatu wa CDM yatawapata hayo V. Nyerere, G. Lema naMchungaji Msigqwa.
VN kasha ingia katika frame ya mapolisi wa CSDm kutokana na kauli yake kuhusu kifo cha Mwalimu Nyerere, ingawa aliyosema Mbunge huyo wa Musoma ni huenda ni kashfa tu (libel) , suala la kesi za madai (civil case) na siyo criminal case. Ngojeni tu.