manning
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 5,051
- 11,758
That is exactly the right thing to be done. Huu upuuzi wa watu kurusha wenyewe mabomu na kisha kutumia misiba kama njia ya kujipatia umaarufu tumeshauchoka. Watu washaamua ku deal na nyinyi jino kwa jino. Na kwa vile meno yenu ni dhaifu na machache, ni muda mfupi tu mtakuwa VIBOGOYO. Hamfiki2015 na mkifika mtakuwa dhsifu saaaaaana
Hii haitafanya kazi kabisa ila itawahimarisha mkuu, hujui kuwa ili chuma kiimalike sharti kipigwe moto kwanza?, kwa taarifa yako kila jambo baya na la kiuonevu dhidi yako linakuimalisha na kukuweka karibu hata na watu waliokuwa adui zako. Kama CCM itakuwa inatumia mbinu hii iliyotumika mwaka 292 wakati wa kumuua sokorati watakuwa wamepotea maboya sana mkuu. kama wewe ni mmoja wao usitoe mapovu bure mpaka kushindwa kuandika vizuri speling, ila wape ushauri wakijenge chama na kuondoa watu wenye kashifa katika chama, hasa uo ufunguo aliozungumzia mwenzenu jana Bungeni jioni.