notradamme
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,009
- 452
Napata raha sana kuona vigoli wanapolalama. Eti hawa ndio wale wakombozi uchwara!!!!! Chezea CCM wewe!!!!!
Cowards wote huzungumza kama wewe! Rudi kwa mama yako umuulize kuhusu ukweli kywa baba yako ni nani? Unaongea kama mtu aliyelelewa na baba wa kubambikiwa
That is exactly the right thing to be done. Huu upuuzi wa watu kurusha wenyewe mabomu na kisha kutumia misiba kama njia ya kujipatia umaarufu tumeshauchoka. Watu washaamua ku deal na nyinyi jino kwa jino. Na kwa vile meno yenu ni dhaifu na machache, ni muda mfupi tu mtakuwa VIBOGOYO. Hamfiki2015 na mkifika mtakuwa dhsifu saaaaaana
Kwani huu msiba ni wa CHADEMA ama wananchi wote. Inasikitisha sasa kuona kuwa kama msiba ukiratibiwa na CCM inamaana wahusika na msiba huo ni wana CCM tu. Siamini kama Tanzania tumeshafika hapa, kwanini nguvu kubwa hii wasitumie kuwalinda ili madhara yanayotokea yakome?
Kama hutapata haki yako kutoka kwa mods basi nitaamini kuwa kuna upendeleo humu jfSerikali ya Kipuuzi, Matamko ya Kipuuzi na kila kitu chao cha kipuuzi......waulize kwanini sasa wanawazuia watu kwenda hapo. Utaambiwa eti Intelijensia yao imeonyesha kuwa kutakua na Machafuko....... upuuzi mtupu, watu wamekusanyika tangu juzi, mbona hatujaskia chochote wala lolote? I hate CCM and its puppets
CC: zumbemkuu Mohamedi Mtoi MANI
Kama hutapata haki yako kutoka kwa mods basi nitaamini kuwa kuna upendeleo humu jf
Peleka ujinga wako kwa baba yako sio kuleta humu JF.Napata raha sana kuona vigoli wanapolalama. Eti hawa ndio wale wakombozi uchwara!!!!! Chezea CCM wewe!!!!!
Kuna mtu niliwahi kufanya nae kazi alikuwa mtu wa ajabu. Hisia zake zilikuwa zinakuja baada ya saa 24! Mfano mnaongea, mtu anatoa kisa cha kufurahisha na kuchekesha, watu mnacheka mnafurahi. Ila jamaa yetu anabaki kimya. Kesho yake utaona anaanza kucheka na kurukaruka halafu atauliza "fulani kumbe kumbe ndio maana jana mlicheka sana." Yaani wakati watu walicheka jana yeye leo ndio anacheka wakati watu tayari wamesahau na kuanza mambo mengine.
Sasa Polisi badala ya kutoa ulinzi kabla na wakati watukio wanatoa ulinzi wa kiwanja siku tatu baada ya tukio. Kweli haya ni maajabu ya karne.
Nenda kamwambie huo ujinga wako Nape na utalipwa posho.polisi kuzuia si mbaya kwasababu lolote lingine laweza tokea hapa wanachofanya polisi ni precaution.
. Au pia inawezekana kutokana na uchunguzi juu ya tukio la bomu kuendelea, si salama sana kwa watu kukusanyika kwa wingi. So labda ni kwa usalama wenu pia. Kwanini kila kitu kinatafsiriwa kuwa ni against Chadema tu? Sisi tumekuwa ndugu miaka yote, vyama vimekuja na kutukuta na udugu wetu. Kutofautiana mawazo si sababu ya kuutupa udugu wetu. Tufanyeni siasa tusi achie siasa ikatufanya sisi!hiyo ni strategy ya magamba,wanaamini wakiruhusu watu watakuwa wengi mno nahivyo kuleta picha kuwa iwapo uchaguzi ungefanyika cdm wangeshinda.
Cowards wote huzungumza kama wewe! Rudi kwa mama yako umuulize kuhusu ukweli kywa baba yako ni nani? Unaongea kama mtu aliyelelewa na baba wa kubambikiwa
na wananchi tumeishiwa ujasiri, matokeo yanaweza kuwa nini!???Ccm imeishiwa washauri.!!!