kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Kwa mujibu wa M-blog kichana mmoja huko Arusha amepigwa Risas mikononi mwa polisi mbele ya kaka yake siku ya alhamis na mwili wake kupelekwa hospital ya Mount Meru.
Wakati mahojiano yanafanyika na wazazi, ndugu na jamaa pamoja viongozi wa ENEO anapoishi mkoani Arusha wote wamekiri kwamba kijana huyo Hana tabia mbaya kwenye jamii na hata angekuwa na tabia mbaya awakutegemea apatwe na mauti kwa sababu alikamatwa nyumban na alifungwa mikono na kupelekwa kituoni.
Kaimu kamanda wa polisi Arusha alipoulizwa ameeleza kwa kujiamini kuwa kijana huyo ni mualifu na kwamba alipigwa risas wakati anamnyang'anya Askari bunduki kituoni. Anadai kwamba kijana huyo amekuwa akituhumiwa kwa makosa mbalimbali.
Hii taarifa ina pande mbili moja ikidai marehemu ni mualifu na nyingine ikidai marehemu ni mtu mwema kwenye jamii.Je , Kati ya RPC na viongozi wa Kijiji pamoja na wanakijiji nani anajua tabia za raia? Je, Kama kweli anatuhumiwa kwa makosa flani anatakiwa kuuwawa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mahojiano yanafanyika na wazazi, ndugu na jamaa pamoja viongozi wa ENEO anapoishi mkoani Arusha wote wamekiri kwamba kijana huyo Hana tabia mbaya kwenye jamii na hata angekuwa na tabia mbaya awakutegemea apatwe na mauti kwa sababu alikamatwa nyumban na alifungwa mikono na kupelekwa kituoni.
Kaimu kamanda wa polisi Arusha alipoulizwa ameeleza kwa kujiamini kuwa kijana huyo ni mualifu na kwamba alipigwa risas wakati anamnyang'anya Askari bunduki kituoni. Anadai kwamba kijana huyo amekuwa akituhumiwa kwa makosa mbalimbali.
Hii taarifa ina pande mbili moja ikidai marehemu ni mualifu na nyingine ikidai marehemu ni mtu mwema kwenye jamii.Je , Kati ya RPC na viongozi wa Kijiji pamoja na wanakijiji nani anajua tabia za raia? Je, Kama kweli anatuhumiwa kwa makosa flani anatakiwa kuuwawa?
Sent using Jamii Forums mobile app