FortJeasus
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 603
- 397
Inavyoonyesha ,CCM na serikali yake inajifanya haikumbuki ,kuwa kule Kenya alipata kuwepo Daniel Moi na KANU yake akiwatesa washindani na wakosoaji wake kinyama,lakini sasa kakaa pembeni hana madaraka.