Ndio, jambazi ni kuuliwa tu.
Kwa vile waliouawa ni majambazi, basi serikari ifuate utaratibu wake wa kawaida;
Kuchonga majeneza kwa ajili ya miili ya majambazi hayo, na pia rambirambi ya Tshs 3,000,000/- kwa kila jambazi lililouawa.
Kama tu Nyamongo! bila kusahau kumfungulia huyo mbunge kesi ya uchochezi. Na pia wasisahau kuwaonya viongozi wa vyama vya upinzani kwamba hawaruhusiwi kuhudhuria na kushiriki maziko ya hao majambazi.
Omr ikiwa hivi ndio uoni wako nina shaka nawe, mbona UVCCM Arusha hawajaguswa ? hivi wao ni nani na hawa wanaouliwa, kuuawa na kushikwa si binaadamu? Tafakari, Chukua hatua.acha wapigwe risasi, mikutano na maandamano isiyo na maana.
FaizaFoxy usikurupuke kupost tu soma thread kwanza na inaonyesha hufuatilii vyombo vya habari.Jee, kukamatwa kwa huyo mbunge kuna uhusiano wowote na hao waliopigwa risasi?
Jee, una uhakika upi kuwa hao waliopigwa risasi si majambazi?
Nina hakika uko sawa sawa tu.Kibao kikiwageukia magamba jibu litakuwa hili hili?Sawa sawa tu
Ndio, jambazi ni kuuliwa tu.
hii ni mipango ya mungu kUwaonesha hawa wake wa Magamba aka CUF kuwa wanachofanya CDM ni sahihi na wanatafuta justice na sio popularity kama magamba wanavyobeza.
Pipozzzzzzzzzzz....Powaaaaaaaa
Ule mtindo wa polisi wa kuwakamata wabunge na kuwapiga raia umeendelea huko wilayani Urambo mkoani Tabora. Polisi wanadaiwa kuwapiga risasi raia 3, mmoja kajeruhiwa mgongoni, mwingine mkononi na watatu mguuni.
Pia polisi wamemkamata mbunge wa viti maalamu kupitia chama cha CUF mheshimiwa Magdalena Sakaya. Polisi wamesema wamemkamata mbunge huyo kwa kufanya mkutano bila kibali.
Source. Wapo Radio kipindi cha pata pata leo asubuhi.
Ndugu watanzania wenzangu, hivi hii tabia ya polisi kupiga risasi raia wasio na hatia itaisha lini? Wananchi inatubidi tuikemee kwani ndugu zetu wanaumizwa na kuendelea kufa bila hatia.
watanganyika mmejaa ujinga ndiyo maana mnauwana kwa imani za ushirikina
Jee, kukamatwa kwa huyo mbunge kuna uhusiano wowote na hao waliopigwa risasi?
Jee, una uhakika upi kuwa hao waliopigwa risasi si majambazi?
Jee, kukamatwa kwa huyo mbunge kuna uhusiano wowote na hao waliopigwa risasi?
Jee, una uhakika upi kuwa hao waliopigwa risasi si majambazi?