figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Heshima kwenu wakuu,
Nashangaa kuona Polisi wakimuhanya Prof. Lipumba. Hapo awali polisi walipiga marufuku mikutano ya hadhara hata ya ndani. Walikuwa wakikukamata unashikishwa bango eti ni mchochezi enzi za Salum Mwalimu wa CHADEMA.
Lakini safari hii wamekuwa tofauti, Lipumba anafanya mikutano ya Siasa na Polisi hawaongei lolote, au Polisi wameamua kuruhusu Demokrasia?
Leo Lipumba kafanya mikutano atakavyo hamna aliyemsema hata kumuandikia barua.
Polisi wamempa ulinzi muda wote kwa kile walichodai kuna habari za kintelejensia ya uwezekano wa kifanyika virugu.
Tanzania Nchi nzuri sana. Ndo nmeamini Viongozi wetu wamechaguliwa kupambana na mashetani. Viva Tanzania Viva
Nashangaa kuona Polisi wakimuhanya Prof. Lipumba. Hapo awali polisi walipiga marufuku mikutano ya hadhara hata ya ndani. Walikuwa wakikukamata unashikishwa bango eti ni mchochezi enzi za Salum Mwalimu wa CHADEMA.
Lakini safari hii wamekuwa tofauti, Lipumba anafanya mikutano ya Siasa na Polisi hawaongei lolote, au Polisi wameamua kuruhusu Demokrasia?
Leo Lipumba kafanya mikutano atakavyo hamna aliyemsema hata kumuandikia barua.
Polisi wamempa ulinzi muda wote kwa kile walichodai kuna habari za kintelejensia ya uwezekano wa kifanyika virugu.
Tanzania Nchi nzuri sana. Ndo nmeamini Viongozi wetu wamechaguliwa kupambana na mashetani. Viva Tanzania Viva