Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,798
Niko Ndani ya daladala, natokea Tabata kwenda Mnazi Mmoja.
Gari yetu ilipofika Amana, tukatahadharishwa kila mtu avae barakoa, mbele Kuna FFU wanatembeza kipondo.
Hatukuamini. Tulipofika Ilala Sokoni/ Bomani, tukakuta jamaa wamejipanga, wanaingia kwenye basi, Kama huna barakoa unashushwa, unachapwa na kuchuchumalishwa chini, nadhani wanasubiri gari kubwa zaidi lije kuwasomba.
Naona huu ni mpango wa Kaka Mwenye Ofisi Yake Hapo Bomani
Gari yetu ilipofika Amana, tukatahadharishwa kila mtu avae barakoa, mbele Kuna FFU wanatembeza kipondo.
Hatukuamini. Tulipofika Ilala Sokoni/ Bomani, tukakuta jamaa wamejipanga, wanaingia kwenye basi, Kama huna barakoa unashushwa, unachapwa na kuchuchumalishwa chini, nadhani wanasubiri gari kubwa zaidi lije kuwasomba.
Naona huu ni mpango wa Kaka Mwenye Ofisi Yake Hapo Bomani